WAKALI WA KUTENGENEZA PASI ZA MWISHO BONGO

WAKALI ni wakali tu iwe ni mwanzo ama mwisho wanakiwasha na msimu wa 2022/23 umeshuhudia wengi kwenye kila sekta. Kwenye mwendo wa data tuna wakali wa kutengeneza pasi za mwisho namna hii:- Clatous Chama pasi 14 Kinara kwa kutengeneza pasi za mwisho Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara ni Clatous Chama yupo zake ndani ya…

Read More

WATATU WAPENYA TUZO SIMBA, SAIDO NDANI

KWENYE orodha ya Wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Mei, 2023 kiungo mshambuliaji Saido Ntibanzokiza jina lake limepenya. Ntibanzokiza anapambania tuzo hiyo akiwa kiungo peke yake huku wawili wakiwa ni mabeki wa kazikazi ndani ya Simba. Nyota huyo kafunga msimu akiwa ametupia mabao…

Read More

MABINGWA NDANI YA DAR NA KOMBE

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Yanga leo Juni 10, 2022 wameandaa paredi la ubingwa wao. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Sokoine ukisoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Mabao ya Yanga ni mali ya Fiston Mayele mwenye mabao 17 pamoja na Yannick Bangala ambaye naye alitupia…

Read More

SIMBA 3-1 COASTA UNION

UBAO wa Uwanja wa Uhuru unasoma Simba 3-1 Coastal Union ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Saido Ntibanzokiza alifunga bao la kuweka usawa dakika ya 13 akisawazisha bao la Coastal Union waliopachika bao la kuongoza kwa pigo la penalti dakika ya 7 kupitia kwa Amza Moboubarack. John Bocco kipindi cha pili amepachika bao la…

Read More

KOCHA YANGA:MAYELE ATAKUWA MFUNGAJI BORA

MWINYI Zahera aliyewahi kuifundisha Yanga na kwa sasa akiwa ndani ya Polisi Tanzania ameweka wazi kuwa anaona tuzo ya mfungaji bora ikienda kwa Fiston Mayele. Zahera alikuwa benchi Juni 6, 2023 aliposhuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Simba 6-1 Polisi Tanzania huku Saido Ntibanzokiza akitupia mabao matano na bao moja likifungwa na Israel…

Read More

PETER BANDA NDANI YA NYUMBA SIMBA

PETER Banda kiungo wa Simba ni miongoni mwa wale watakaonza leo Juni 6,2023 kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons. Ni mchezo wa mzunguko wa pili ikiwa ni mzunguko wa pili. Banda hajawa kwenye ubora msimu huu kutokana na kupambania afya yake muda mrefu. Ni shuhuda wa watani zao wa jadi Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi…

Read More

YANGA KUREJEA KIMATAIFA WAKIWA IMARA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utarejea kwenye mashindano ya kimataifa wakati mwingine ukiwa imara zaidi. Timu hiyo kutoka Tanzania imeandika rekodi nzuri ya kucheza fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa ni ya kwanza kutoka Tanzania kufanya hivyo. Imegotea kuwa mshindi wa pili baada ya ushindi wa jumla ya Yanga 2-2 USM Alger kuwabeba…

Read More

SOPU KUIBUKIA TANGA, MKWAKWANI

NYOTA wa Azam FC, Abdul Suleiman Sopu anatarajiwa kurejea kwa mara nyingine tena ndani ya Tanga, Uwanja wa Mkwakwani kupambania uzi wa timu yake dhidi ya Yanga. Sopu aliibuka ndani ya Azam FC akitokea Coastal Union na kwa sasa yupo zake ndani ya Azam FC akipambania majukumu yake. Azam FC itapambana na Yanga kwenye mchezo…

Read More

KUSHINDWA LEO MWANZO WA KUPAMBANA KESHO

MAISHA ya mpira yanahitaji umakini mkubwa kwa kila mmoja kupambana kutimiza malengo ambayo yapo kwenye timu husika na inawezekana licha ya kwamba msimu unakaribia kufika ukingoni. Tumeona kwamba kila timu imefanya kazi yake kwa kupambana kufikia malengo na wapo ambao walikwama na wengine wanasubiri mpaka mechi mbili za mwisho kukamilisha hesabu huku Yanga wakiwa wametwaa…

Read More

CHAMA AWAPA TUZO MASTAA SIMBA

CLATOUS Chama kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba ameweka wazi kuwa ikiwa atakosa tuzo ya kiungo bora ndani ya Ligi Kuu Bara kisha wakachukua nyota wengine anaocheza nao ndani ya Simba kwake itakuwa furaha. Simba imegotea nafasi ya pili na vinara ni watani zao wa jadi Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Yanga…

Read More

MATAJIRI WA DAR KWENYE DAKIKA 180 ZA MOTO

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanamechi mbili za moto kukamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 kwa kucheza kete zao mbili. Azam FC watacheza mchezo wa fainali Azam Sports Federation dhidi ya Yanga mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Yanga ilipata ushindi dhidi ya Singida Big Stars huku Azam FC ikiwatungua Simba, Uwanja wa…

Read More

WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA NDANI YA DAR

WAPINZANI wa Yanga kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Mei 28, 2023 Uwanja wa Mkapa wamewasili ardhi ya Tanzania. Ni alfajiri ya leo wamewasili kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. USM Alger ya Algeria ni wapinzani wa Yanga ambao watacheza fainali ya kwanza Uwanja wa Mkapa. Saa…

Read More