BRUNO BADO YUPO SANA, MIGUEL NDO BASI TENA

KAZI imeanza ndani ya Singida Fountain Gate ambayo zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars kwa kutambulisha nyota walioongeza mkataba pamoja na wale watakaosepa ndani ya timu hiyo. Timu hiyo ni mashuhuda Yanga wakisepa na ubingwa wa ligi huku wao wakigotea nafasi ya nne. Rasmi Juni 24 walifungua ukurasa wao mpya kwa kuanza kuwataarifu mashabiki kuhu…

Read More

UWE MKUTANO UTAKAOLETA MATOKEO MAZURI

NGOJANGOJA huumiza tumbo imekuwa hivyo na itabaki kuwa hivyo kwa kile ambacho kinapatikana ni lazima kugawana kwa haki bila upendeleo. Mawazo mazuri ambayo yanakusanywa ni muhimu kufanyiwa kazi hasa ukizingatia kila kitu ambacho kinafanyika kinaanzia kwenye mpango kazi wa fikra. Ipo hivi Wanachama wa Yanga wanatarajia kufanya mkutano mkuu ambao huo upo kwa mujibu wa…

Read More

USAJILI SIMBA WAVUJA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema jumla ya wachezaji watatu tayari usajili wao umekamilika na kilichobaki ni kuwatambulisha. Timu hiyo imeshuhudia ubingwa ukienda Yanga iliyokamilisha msimu ikiwa namba moja na pointi 78. Yanga ipo kwenye mchakato . Wachezaji wanaotajwa kumalizana na Simba hadi hivi sasa kwa kuwapa mikataba ya miaka miwili ni…

Read More

KOCHA MBRAZIL KURAHISISHIWA KAZI NDANI YA SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utafanyia kazi mapendekezo ya benchi la ufundi kwenye upande wa usajili ili kuongeza wachezaji imara ndani ya timu hiyo kwa msimu ujao. Ni Roberto Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amewaomba viongozi wa timu hiyo kuongeza wachezaji wawiliwawili kila idara ili kuongeza nguvu ndani ya kikosi kwa msimu ujao wa…

Read More

KIUNGO MNIGERIA YAMEMKUTA SIMBA

VICTOR Ackpan kiungo wa Simba amepewa mkono wa kwa kheri ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo raia wa Nigeria yamemkuta masuala ya ‘Thank You’ kama iliyokuwa kwa Augustino Okra raia wa Ghana. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Coastal Union ya pale Tanga inayotumia Uwanja wa Mkwakwani kwa mechi za nyumbani….

Read More

KOCHA YANGA AWEKA UGUMU HUU

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Mrundi Cedric Kaze amekataa kusaini mkataba mpya wa timu hiyo, akitoa masharti magumu kwa uongozi ulioanza mazungumzo ambao ulitarajiwa kukutana naye mapema. Mkataba wa Nabi na Kaze ulimalizika Jumatatu hii mara baada ya mchezo wa Fainali ya Kombe la FA kumalizika kwa Yanga kutwaa taji hilo kwa kuwafunga Azam FC bao…

Read More

BILIONI 2.8 ZAMPELEKA MAYELE UARABUNI

MABINGWA mara mbili mfululizo wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, wanaweza kupata wakati mgumu kukataa ofa ya Rand milioni 22 (Sawa na Sh 2,806,936,000) kwa ajili ya kumuachia mshambuliaji wao, Mkongomani, Fiston Mayele kujiunga na Sepahan SC ya nchini Iran. Mayele amekuwa katika kiwango bora kwa misimu miwili aliyoitumikia Yanga ambapo msimu wa 2022/23, ametangazwa…

Read More

TAIFA STARS KAZI INAENDELEA

MBWANA Samatta nyota anayepambania nembo ya Tanzania katika Klabu ya Genk ya Ubelgiji ni miongoni mwa walioanza mazoezi na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Adel Amrouche imeanza maandalizi kuelekea mchezo wa kuwania kufuzu mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Ni Jumapili Juni 18 mchezo huo…

Read More

BEKI AVUNJA MKATABA SIMBA

BEKI mwili nyumba wa Simba, Mohammed Ouattara, ameona isiwe shida na kufikia makubaliano mazuri na klabu hiyo, ya kuvunja mkataba ili aondoke hapo Msimbazi. Outtara ni kati ya wachezaji waliosajiliwa na Simba katika usajili mkubwa msimu huu akitokea Al Hilal ya nchini Sudan akisaini mkataba wa miaka miwili. Beki huyo alisajiliwa na Simba kwa ajili…

Read More

WAKALI WA KUTENGENEZA PASI ZA MWISHO BONGO

WAKALI ni wakali tu iwe ni mwanzo ama mwisho wanakiwasha na msimu wa 2022/23 umeshuhudia wengi kwenye kila sekta. Kwenye mwendo wa data tuna wakali wa kutengeneza pasi za mwisho namna hii:- Clatous Chama pasi 14 Kinara kwa kutengeneza pasi za mwisho Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara ni Clatous Chama yupo zake ndani ya…

Read More

WATATU WAPENYA TUZO SIMBA, SAIDO NDANI

KWENYE orodha ya Wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Mei, 2023 kiungo mshambuliaji Saido Ntibanzokiza jina lake limepenya. Ntibanzokiza anapambania tuzo hiyo akiwa kiungo peke yake huku wawili wakiwa ni mabeki wa kazikazi ndani ya Simba. Nyota huyo kafunga msimu akiwa ametupia mabao…

Read More

MABINGWA NDANI YA DAR NA KOMBE

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Yanga leo Juni 10, 2022 wameandaa paredi la ubingwa wao. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Sokoine ukisoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Mabao ya Yanga ni mali ya Fiston Mayele mwenye mabao 17 pamoja na Yannick Bangala ambaye naye alitupia…

Read More

SIMBA 3-1 COASTA UNION

UBAO wa Uwanja wa Uhuru unasoma Simba 3-1 Coastal Union ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Saido Ntibanzokiza alifunga bao la kuweka usawa dakika ya 13 akisawazisha bao la Coastal Union waliopachika bao la kuongoza kwa pigo la penalti dakika ya 7 kupitia kwa Amza Moboubarack. John Bocco kipindi cha pili amepachika bao la…

Read More

KOCHA YANGA:MAYELE ATAKUWA MFUNGAJI BORA

MWINYI Zahera aliyewahi kuifundisha Yanga na kwa sasa akiwa ndani ya Polisi Tanzania ameweka wazi kuwa anaona tuzo ya mfungaji bora ikienda kwa Fiston Mayele. Zahera alikuwa benchi Juni 6, 2023 aliposhuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Simba 6-1 Polisi Tanzania huku Saido Ntibanzokiza akitupia mabao matano na bao moja likifungwa na Israel…

Read More