BEKI YANGA MWAMNYETO ANAWINDWA SIMBA

MENEJA wa Mchezaji wa Yanga Bakari Mwamnyeto aitwaye Kassa Mussa amedai Klabu ya Simba inamsumbua sana juu ya uwezekano wa kumsajili mteja wake ambaye ni mchezaji na nahodha wa Klabu ya Yanga Bakari Mwamnyeto. Mussa amesema kuwa Simba wameweka mezani ofa kubwa mno ya kutaka kumsajili mchezaji huyo na mbali na Simba Mwamnyeto amepata ofa…

Read More

RUVU SHOOTING YATUMA UJUMBE HUU KWA YANGA

MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa wakimalizana na Namungo leo kituo kinachofuata ni dhidi ya Yanga. Ruvu Shooting wameomba mchezo wao dhidi ya Yanga uchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika,Kigoma na unatarajiwa kuchezwa Mei 4,2022. Masau Bwire amesema kuwa kila mchezo kwao ni muhimu na wanaimani ya kupata pointi tatu kutokana na uimara…

Read More

KOCHA ORLANDO PIRATES AGOMEA USHINDI WA SIMBA

KOCHA wa Orlando Pirates, Mandla Ncikazi amesema Simba imewahujumu kwenye mchezo wao wa kimataifa waliocheza jana Uwanja wa Mkapa. Baada ya dk 90, ubao ulisoma Simba 1-0 Orlando kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya kwanza uliokuwa na ushindani mkubwa. Kocha huyo amesema:”Kama wameshinda basi kwa penalti ambayo naona kwamba sio sawa kwani walileta…

Read More

KAGERA SUGAR YAGAWANA POINTI NA KMC,KAITABA

KWENYE mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Kaitaba Aprili 17 milango ilikuwa migumu kwa timu zote mbili. Baada ya dk 90 ubao wa Uwanja wa Kaitaba ulisoma Kagera Sugar 0-0 KMC. Matokeo hayo yanaifanya Kagera Sugar kufikisha pointi 26 nafasi ya 5 baada ya kucheza jumla ya mechi 20. KMC inafikisha pointi 24…

Read More

BEACH SOCCER YAPAMBA MOTO

MICHUANO ya Tanzania Football Federation Beach Soccer Super League, imeendelea kulindima jioni ya leo katika eneo la Coco Beach, Masaki jijini Dar es Salaam, ambapo Jumla ya timu Sita zimeshuka Dimbani. Mchezo wa kwanza ambao ulianza saa 9:00, ulikuwa ni Dhidi ya Savana Boys ya Yombo Makangarawe na PCM Sports Club ya Buza, mchezo ambao…

Read More

KIMATAIFA MAMBO BADO UWANJA WA MKAPA

MAMBO ni magumu Uwanja wa Mkapa dk 45 za kipindi cha kwanza mchezo wa Kombe la Shirikisho. Simba 0-0 Orlando Pirates na asilimia ni 59 kwa umiliki wa mpira mwa Simba na Pirates ni asilimia 41. Ni kona 4 Simba wamepiga huku Orlando Pirates wao wakipiga kona moja ndani ya dk 45 za kipindi cha…

Read More

MORISSON,MUGALU,BANDA WAANZA MBELE YA ORLANDO

LEO Aprili 17 2022, Uwanja wa Mkapa wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho ambao ni Simba wanatarajiwa kusaka ushindi mbele ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kitaanza Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku itakuwa namna hii:- Aishi Manula Shomari Kapombe Zimbwe Jr Henock Inonga Pascal Wawa Jonas Mkude…

Read More

MBADALA WA KANOUTE NA ONYANGO NI HAWA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ni Sadio Kanoute na Joash Onyango hawa wataukosa mchezo wa leo dhidi ya Orlando Pirates,Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wanaamini wachezaji hao ni muhimu lakini hakuna namna watawakosa ila wapo wachezaji wengine watakaocheza. “Tutamkosa Sadio kwa kuwa huyu ana…

Read More

YANGA WAITAJA TIMU WATAKAYOSHANGILIA UWANJA WA MKAPA

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umesema leo Jumapili utakuwepo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, kwa ajili ya kuisapoti Simba itakapokuwa inacheza dhidi ya Orlando Pirates. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga, Hassan Bumbuli wakati Simba leo wakitarajiwa kuwa wenyeji wa Orlando Pirates katika mchezo wa robo fainali ya Kombe…

Read More

MASTAA SIMBA WAPEWA ONYO KISA VAR

KUFUATIA kutumika kwa mara ya kwanza mfumo wa video wa kumsaidia mwamuzi (VAR) hapa Tanzania katika mchezo wao wa leo Jumapili dhidi ya Orlando Pirates, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco amewaonya mastaa wake akiwemo Bernard Morrison kuhakikisha hawafanyi makosa ya kumtegea mwamuzi. Simba leo Jumapili majira ya saa 1:00 usiku, watashuka Uwanja wa Mkapa,…

Read More

MZAMBIA AITAKA NAMBA YA YACOUBA YANGA

MSHAMBULIAJI wa Zanaco ya Zambia, Moses Phiri ambaye anahusishwa kujiunga na Yanga amesema kuwa anatamani kuona anavaa jezi namba 10 katika timu mpya atayojiunga nayo kutokana na kuamini kuwa ni namba ya bahati kwake. Katika klabu ya Yanga jezi namba 10 imekuwa ikivaliwa na Yacouba Songne ambaye alikabidhiwa jezi hiyo tangu alipowasili akitokea Burkina Faso….

Read More

KOCHA MTUNISIA AITABIRIA MAKUBWA SIMBA KIMATAIFA

ADEL Zraine, raia wa Tunissia ambaye ni mtaalamu wa masuala ya viungo amesema kuwa Klabu ya Simba itafika mbali kwenye mechi za kimataifa. Kwa sasa Simba ipo hatua ya robo fainali ambapo inatarajiwa kutupa kete yake ya kwanza Aprili 17 dhidi ya Orlando Pirates, Uwanja wa Mkapa.  Zraine ambaye aliwahi kuwa kocha ndani ya Simba…

Read More

POLISI TANZANIA NA MBEYA KWANZA HAKUNA MBABE

POLISI Tanzania kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya Kwanza jana Aprili 16 walitoshana nguvu na Mbeya Kwanza. Ni sare ya kufungana bao 1-1 iliweza kupatikana baada ya dk 90 kukamilika Uwanja wa Ushirika,Moshi. Langoni alianza Metacha Mnata ambaye aliokota bao moja na kwa upande wa ushambuliaji ni Daruwesh Salioko na Kassim…

Read More