Arsenal Wanazidi Kuandika Historia Mpya ya Mafanikio
Kule Uingereza hasa mitaa ya London, Arsenal wanazidi kung’ara siku hadi siku baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano yote ambayo wanashiriki ikiwemo EPL mpaka yale ya UEFA huku ikiwa ni timu mojawapo inayopewa nafasi ya kushinda mataji msimu huu. Arsenal wanaendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya sasa si bahati, bali ni matokeo ya mpango madhubuti,…