SIMBA BADO WACHEZAJI WANAUMWA,MAZOEZI WAMEFANYA SIKU MBILI
WAKATI leo kikosi cha Simba kikiwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC ambao ni wenyeji bado wachezaji wa timu hiyo wapo ambao wanaumwa. Kwa mujibu wa Kocha Msaidizi wa Simba, Thiery Hitimana amesema kuwa bado wachezaji hawajawa fiti kwa asilimia 100 kutokana na homa ambayo walikuwa nayo. Ikumbukwe kwamba Desemba 18 Simba…