MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
Spoti Xtra Jumapili muonekano wa ukurasa wa mbele
Spoti Xtra Jumapili muonekano wa ukurasa wa mbele
NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwa mwaka mpya wa 2022 watazidi kuwafurahisha zaidi mashabiki kwa kupata matokeo mazuri pamoja na kucheza soka safi. Yanga imecheza mechi 11 bila kupoteza mchezo hata mmoja na kibindoni ina pointi 29 ikiwa ipo namba moja kwenye msimamo. Ni ushindi wa mabao 4-0 walipata jana Desemba 31 kwenye…
UWANJA wa Mkapa, Januari Mosi,2022 mchezo wa Ligi Kuu Bara umekamilika kwa Simba kufungua mwaka kwa kusepa na pointi tatu mazima. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 2-1 Azam FC. Mabao ya Sadio Kanoute na Sakho kwa Simba huku bao la Azam FC likifungwa na Zulu. Katika mchezo wa leo mpaka muda mapumziko timu…
KIKOSI cha Azam FC v Simba, Uwanja wa Mkapa, Januari 2022
KIKOSI cha Simba dhidi ya Azam FC Uwanja wa Mkapa,Januari Mosi,2022.
ADHABU zimetolewa na Bodi ya Ligi Tanzania namna hii ambapo Yanga pia wamepigwa faini
KIUNGO Ibrahim Ajibu ambaye ni ingizo jipya ndani ya Azam FC kuna uwezekano asianze kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo dhidi ya Simba ambao ni wa Ligi Kuu Bara. Timu zote mbili zimeweka wazi kwamba zinahitaji pointi tatu muhimu ambapo kwa upande wa Azam FC, Idd Aboubakhari, Kocha wa Makipa wa Azam FC amesema kuwa wanatambua Simba ni…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anawaheshimu wapinzani wake Azam FC ambao atakutana nao Uwanja wa Mkapa leo Januari Mosi, 2022 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Huu ni mchezo wa kwanza kwa vigogo hawa kukutana msimu wa 2021/22 na unapigwa siku ya kwanza ya mwaka 2022. Akizungumza mbele ya Waandishi wa…
AMINI usiamini, sasa ni wazi kuwa zile kelele juu ya usajili wa kiungo mshambuliaji wa RS Berkane, Clatous Chama, zimeisha namna hii, baada ya kuvuja kwa siri ya kwamba tayari Simba imemalizana na mchezaji huyo na tayari wamemrejesha nyumbani kwao Lusaka, Zambia. Takriban miezi mitatu sasa, gumzo la jiji ni juu ya usajili wa Chama,…
LEO Januari Mosi, 2022 ikiwa ni ‘Happy New Year’ unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kukata na shoka kati ya Simba v Azam FC, Uwanja wa Mkapa. Pande zote mbili zimeweka wazi kwamba zinahitaji pointi tatu ambapo nahodha wa Azam FC, Sospeter Bajana amesema kuwa mchezo wa soka ni mchezo wa kiume. Kwa upande wa nahodha wa…
Mwaka 2022 unaanza kwa michezo ya kukata na shoka kunako mchezo wa soka. EPL katika ubora wake wikiendi hii. Anza mwaka mpya kwa kutandaza jamvi lako na Meridianbet, mkeka wako wa faida ni huu; Emirate Stadium itafungua burudani ya mwaka mpya kwa mchezo wa Arsenal vs Man City. Mchezo wa mwisho timu hizi kukutana kwenye…
Ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi, Happy New Year
YANGA imeshinda mabao 4-0 dhidi ya Dodoma Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Huu ni mchezo wa kufunga mwaka 2021 ambapo Yanga imefunga kwa aina yake kwa kupata ushindi mkubwa wa mabao zaidi matatu. Yanga walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza kwa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Fiston Mayele dakika ya 41….
UWANJA wa Mkapa, Desemba 31, mchezo wa Ligi Kuu Bara dakika 45 zimekamilika ubao unasoma Yanga 1-0Dodoma Jiji. Mtupiaji wa bao ni Fiston Mayele ambaye amepachika bao hilo akiwa ndani ya 18. Ilikuwa ni dakika ya 41 bao hilo ameweza kulioachika kwenye mchezo wa leo ambao umekuwa na ushindani mkubwa. Yanga wameweza kumiliki mpira kwa…
KIKOSI cha Dodoma Jiji leo Desemba 31,2021 leo Uwanja wa Mkapa.
Kikosi ca Yanga dhidi ya Dodoma Jiji FC, Aboutwalib Mshery moja kwa moja anaingia kikosi cha kwanza baada ya kusaini dili la miaka miwili.
NYOTA wa Biashara United, Denis Nkane na Yanga kwa sasa unaweza kusema kilichobaki ni suala la muda tu kutambulishwa. Jana alikuwa na kazi ya kupambania timu yake ya Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC na waliweza kugawana pointi mojamoja. Kwenye mchezo huo ni yeye aliweza kufunga bao la pili…