
POLISI TANZANIA YAIMALIZA BIASHARA UNITED
POLISI Tanzania wamendeleza kasi ya msako wa pointi tatu baada ya kushinda kwa mabao 2-0 Biashara United. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Ushirika Moshi,Mei 30 uliwafanya mastaa wa Polisi Tanzania kuwa na furaha baada ya ushindi huo. Ni ushindi wa pili mfululizo Polisi Tanzania inashinda baada ya kushinda mbele mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar….