
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
Mchezo wa Blackjack Live Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana…
KIKOSI cha Namungo leo Mei 3,2022 kimeibana mbavu Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kwa kupata sare ya kufungana mabao 2-2. Ngoma imechezwa Uwanja wa Ilulu ambapo Namungo walianza kwa kasi kubwa kusaka ushindi na waliwatangulia Simba. Ilikuwa dk ya 7 kupitia kwa Jacob Masawe aliyepachika bao hilo kwa kichwa kisha likawekwa usawa na…
CEDRICK Kaze,Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kwa mechi ambazo zimebaki watapambana kupata pointi tatu muhimu kwa kuwa walizikosa zile za Simba. Kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Aprili 30,2022 Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 0-0 Simba hivyo watani hao wa jadi waligawana pointi tatu. Akizungumza na Saleh Jembe,Kaze amesema kuwa wana kazi kubwa ya…
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imetoa adhabu baada ya kupitia matukio ambayo yalikuwa kwenye mechi zilizochezwa hivi karibuni. Hii ni kwenye Ligi Kuu Bara, Championship na kuna timu ambazo zilikutwa na hatia kisha zikapigwa adhabu kutokana na makossa ambayo waliyafanya. Ripoti inaonyesha kwamba Yanga imepigwa faini y ash.2,000,000 kwa…
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi kesho Mei 4 kinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting. Tayari kikosi hicho kimewasili salama Kigoma na kupokelewa kwa shangwe kubwa na mashabiki ambao walijitokeza jana Mei 2. Ni mchezo wa mzunguko wa pili baada ya ule wa kwanza Yanga kushinda mabao 3-1 Uwanja…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo Mei 3 wana kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo huku wakiwa na hofu kuhusu mchezo wa leo. Mchezo huo ni wa ligi ikiwa ni mzunguko wa pili ambapo wababe hao wanatarajiwa kuwa kwenye msako wa pointi tatu kama itakavyokuwa kwa Namungo. Ikumbukwe kwamba mchezo…
WAKATI wachezaji Kibwana Shomari na Saido Ntibazonkiza wakiwa wanafanya vyema ndani ya Yanga, habari mbaya zaidi kwa upande mwingine ni kuwa wachezaji hao bado hawajapewa mikataba mipya huku ile ya awali ikiwa inatamatika hivi karibuni. Saido na Kibwana, wote wamekuwa katika sehemu ya kikosi cha kwanza cha timu hiyo cha kocha mkuu Mtunisia, Nasreddine Nabi,…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
AHMED Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Simba amesema kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele hakuweza kutamba mbele ya Joash Onyango na Henock Inonga. Aprili 30,2022 Mayele ambaye ni kinara wa utupiaji ndani ya ligi akiwa na mabao 12 aliweza kubanwa asiweze kutetema kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliokamilika kwa sare…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MATHIAS Lule, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema malengo ni kuona kikosi hicho kinamaliza ndani ya tano bora kwa msimu huu wa 2021/22. Ni mechi sita imeshinda kati ya 21 ambazo imecheza kwa msimu huu ndani ya ligi ambao umekuwa na ushindani mkubwa. Imekusanya pointi 28 ipo nafasi ya 5 huku kinara akiwa ni Yanga…
ISSA Azam shabiki wa Simba amesema kuwa Yanga imekata upepo na wameshindwa kuifunga Simba kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa,baada ya dakika 90 ubao kusoma Yanga 0-0 Simba na kuwafanya watani hao wa jadi kugawana pointi mojamoja
MZEE wa Utopolo shabiki wa Yanga kutoka Iringa mkazi wa Majohe amebainisha kuwa kugawana pointi mojamoja na watani zao wa jadi Simba maana yake ni kwamba tabu ipo palepale kwa kuwa wamewazidi kwa pointi zilezile ambazo walikuwa wamewazidi awali. Jumla ya pointi 55 wamefikisha Yanga baada ya kucheza mechi 21 huku Simba ikiwa na pointi…
SHABIKI wa Simba,mzee wa ndani Kisugu ametuma ujumbe kwa watani zao wa jadi Yanga kwa kueleza kuwa watakutana nao kwenye mchezo wa nusu Fainali Kombe la FA
SHABIKI wa Yanga amebainisha kwamba beki wa Simba, Henock Inonga amebahatisha kumkaba mshambuliaji wa timu hiyo Fiston Mayele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa,Aprili 30 wakati timu hizo zilipotoshana nguvu ya bila kufungana kwenye mchezo wa ligi.
ZILE tambo za watani wa jadi Yanga na Simba zimekamilika Uwanja wa Mkapa kwa wababe hao kutoshana nguvu bila kufungana. Aprili 30, 2022 mwamuzi Ramadhan Kayoko alikamilisha dk 90 bila ubao kusoma mabao kwa kuwa ilikuwa ni Yanga 0-0 Simba. Sare hiyo ilitawaliwa na matukio ya ubabe mwanzo mwisho ambapo Simba walianza kwa kasi dakika…