COASTAL UNION:AZAM FC WANA GARI ZURI,TIMU ZURI

WAKATI leo Mei 29 Coastal Union ikitarajiwa kutupa kete yake mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali, Kombe la Shirikisho, Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema kuwa Azam FC wana timu nzuri. Mgunda ambaye ni Kocha Mkuu wa Coastal Union ameweka wazi kwamba anawaheshimu wapinzani wake na anaamini wataleta ushindani mkubwa lakini…

Read More

REAL MADRID MABINGWA LIGI YA MABINGWA ULAYA

REAL Madrid wametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuitungua bao 1-0 Liverpool kwenye mchezo wa hatua ya fainali iliyochezwa Uwanja wa de France. Licha ya Liverpool kuwa na matumaini ya kuweza kulipa kisasi cha mwaka 2018 walipokutana kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kuweza kushinda bado wakati huu wameshindwa…

Read More

YANGA YATINGA FAINALI KWA KUITUNGUA SIMBA

KIKOSI cha Simba kimepoteza mchezo wa hatua ya nusu fainali mbele ya Yanga kwa kufungwa bao 1-0 uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Pablo Franco ameongoza kikosi chake ndani ya dakika 90 na kushuhudia wakishindwa kupata ushindi. Bao pekee la ushind kwa Yanga limefungwa na Feisal Salum ilikuwa dk ya 25 kwa shuti kali akiwa nje…

Read More

BENO KUANZA,KIKOSI CHA SIMBA V YANGA

KIKOSI cha Simba ambacho kitaanza dhidi ya Yanga, Uwanja wa CCM Kirumba kipo namna hii:- Beno Kakolanya Jimmysone Mwanuke Zimbwe Joash Onyango Henock Inonga Taddeo Lwanga Pape Sakho Sadio Kanoute Chris Mugalu Mzamiru Kibu Dennis Akiba Manula Ally Gadiel Kennedy Nyoni Bwalya Kagere Mhilu

Read More

PABLO AKIRI KUWA YANGA NI WAGUMU

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema wanajua mechi ya leo nusu fainali Kombe la Shirikisho itakuwa ngumu ila watajitahidi kutafuta ushindi mbele ya Yanga Simba ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Kocha Pablo ameweka wazi kwamba maandalizi ambayo wameyafanya yanawapa nafasi ya kuweza kupata…

Read More

YANGA YABAINISHA WAMEUKAMATA MCHEZO DHIDI YA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema wameukamata vizuri mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni leo Mei 28 mchezo huo ambao umeshika hisia za mashabiki wengi unatarajiwa kuchezwa kwa timu ambayo itatinga hatua ya fainali. Mshindi wa mchezo wa leo anatarajiwa kucheza na mshindi wa…

Read More

KAKOLANYA KUPEWA MAJUKUMU YA MANULA

 IMEELEZWA kuwa kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya ameandaliwa kubeba mikoba ya Aishi Manula kwenye mchezo wa leo hatua ya nusu fainali. Simba ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo ambao unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa CCM Kirumba. Taarifa zimeeleza kuwa Manula yeye alipata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold…

Read More

MAKOCHA WA YANGA NA SIMBA WAIBIANA MBINU NAMNA HII

MAKOCHA wawili ambao wanatarajiwa kuongoza vikosi vyao Uwanja wa CCM Kirumba kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho wameibiana mbinu ndani ya dakika 90 kabla ya kukutana uwanjani. Ni Nasreddine Nabi Kocha Mkuu wa Yanga wa alianza kuweza kuiba mbinu za Pablo Franco Uwanja wa Kirumba baada ya kushuhudia dk 90 za kazi…

Read More

MANULA,KAPOMBE WAANZA MAZOEZI KUIKABILI YANGA

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema nyota wawili waliokuwa majeruhi katika kikosi chao, Aishi Manula na Shomari Kapombe, wameanza mazoezi rasmi kujiandaa kuikabili Yanga SC kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa, Jumamosi hii. Manula alipata maumivu ya mkono muda mfupi kabla ya mchezo wa ligi kati ya Geita Gold v…

Read More

JEMBE:AMBUNDO ANAJAMBO KUBWA LA KUJUTIA KULIKO SAIDO

MCHAMBUZI mwandamizi wa michezo nchini Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa mchezaji wa Yanga, Dickson Ambundo anatakiwa kujitafakari zaidi pengine kuliko hata mchezaji mwenzake Saido Ntibazonkiza ambao wote wamesimamishwa na Yanga kwa kosa la kutoroka kambini. Ambundo ni mchezaji mzawa ambaye amepita katika vilabu kadhaa kabla ya kutua Yanga ikiwemo Gor Mahia ya Kenya pamoja na…

Read More

PRISONS WATOSHANA NGUVU NA GEITA GOLD

LICHA ya kuanza kufunga kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya Tanzania Prisons waliweza kugawana pointi mojamoja na Geita Gold. Bao la dakika ya 30 lililofungwa na jeremia Juma lilidumu ndani ya kipindi cha kwanza kwa kuwa alifunga dk ya 38 kwa kuwa kuwa kipindi cha pili vijana wa Geita…

Read More

MABOSI WA SIMBA WAONGOZWA NA MO KUIJADILI YANGA

KUELEKEA mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports kati ya Yanga dhidi ya Simba, Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo Dewji’, ameitisha kikao cha ghafla ili kuona wanajipangaje kuwamaliza wapinzani wao hao. Jumamosi hii, Simba itakuwa na kibarua kizito mbele ya Yanga, katika mchezo huo utakaochezwa Uwanja…

Read More