WACHEZAJI STARS KAZI IPO KUIKABILI UGANDA

MAJINA ya wachezaji wa timu ya Taifa ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa Afrika, (CHAN) dhidi ya Uganda yameshawekwa wazi. Nyota 25 ambao wameitwa kazi yao kubwa ni kuweza kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa ili waweze kupata matokeo chanya katika mchezo huo. Imani kubwa ni kuona…

Read More

MAKAMBO NA BERNARD MORRISON WANA KAZI YAO MAALUMU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amesema kuwa wachezaji wake, Mghana Bernard Morrison na Mkongomani, Heritier Makambo, wana kazi maalum za kimbinu na kiufundi katika kikosi chake.  Nabi amesema kuwa wachezaji hao anawatumia kama ‘Super Sub’ ambao kazi yao ni kwenda kuwazuia mabeki na viungo wakabaji wa timu pinzani kupanda. Nabi amesema kuwa anapenda…

Read More

MZUNGU WA SIMBA ATUPIA MBELE YA KAGERA SUGAR

SIMBA imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mabao ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki yamefungwa na Moses Phiri dakika ya 42 na bao la pili lilifungwa na Dejan dk ya 81. Simba inafikisha pointi 6 kibindoni baada ya kucheza mechi mbili…

Read More

MAPUMZIKO:SIMBA 1-0 KAGERA SUGAR

MOSES Phiri amefunga bao la kuongoza kwa Simba kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar dk ya 42 kwa pigo la kichwa baada ya nyota Clatous Chama kupiga faulo iliyogonga mwamba. Mchezo huo ni wa kasi kubwa kwa timu zote kucheza kwa tahadhari kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Nyota wa Kagera Sugar, Apolinary ameonyeshwa kadi…

Read More

MAYELE ATETEMA KWA MARA NYINGINE YANGA IKISHINDA

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa mabao ya Bernard Morrison dk ya 4 na Fiston Mayele dk ya 67. Mayele ametetema kwa mara nyingine kwenye mchezo wa leo ambao alianzia benchi na alichukua nafasi ya Makambo Heritier….

Read More

SIMBA QUEENS WASHINDA KIMATAIFA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa, baada ya dakika 90 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, Simba imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali. Ni mabao ya Vivian Aquino Corazone anayevaa uzi namba 4 dakika ya 15 huku Philomena Abakay yeye alitupia mabao mawili na uzi wake mgongoni ni namba 27. Mshambuliaji mahiri…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Agosti 20,2022 ambapo kuna mechi nne zitachezwa kusaka pointi tatu muhimu. Ikumbukwa kwama jana Agosti 19 ulichezwa mchezo mmoja, Uwanja wa Uhuru na ubao ulisoma Ihefu 0-1 Namungo FC. Leo ni Coastal Union v Yanga Polisi Tanzania v KMC Simba v Kagera Sugar

Read More

NAMUNGO YASHINDA MBELE YA IHEFU, LUSAJO KAMA KAWA

MCHEZO pekee wa Ligi Kuu Bara ambao umechezwa leo Agosti 19,2022 Uwanja wa Uhuru dakika 90 ubao umeseoma Ihefu 0-1 Namungo FC. Huu unakuwa mchezo wa pili mfululizo kwa timu ya Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila kupoteza pointi tatu ikiwa nyumbani. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Highland Estate, Ihefu ilifungwa…

Read More

YANGA YAINGIA MKATABA WA MIAKA MIWILI NA JACKSON GROUP

KLABU ya Yanga leo Agosti 19,2022 imeingia makualiano na Kampuni ya Masoko iitwayo Jackson Group. Kwa mujibu wa rais wa Yanga,  Hersi Ally Said amesema kuwa  wameingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya masoko ya Jackson Group ambayo itakuwa na jukumu la kuleta mahusiano ya kibiashara kati ya Yanga na washirika wengine. “Kampuni ya…

Read More