MATAIFA YALIYOIPELEKA YANGA KIMATAIFA

MATAIFA matatu yalifanya kazi kubwa kuipaisha Yanga kimataifa na kuipeleka kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Ni kupitia bao pekee la ushindi la Aziz Ki raia wa Burkina Faso ambaye alifunga bao hilo dakika ya 79 akitumia pasi ya Fiston Mayele raia wa DR Congo. Ikumbukwe kuwa kabla ya bao kupatikana lilipita kwenye…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Novemba 17,2022 inatarajiwa kuendeea kwa timu kuyeyusha dakika 90 msako wa pointi tatu muhimu. Ihefu ya Mbeya itawakaribisha Polisi Tanzania mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Mbeya City ya Mbeya itawakaribisha Kagera Sugar, Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Yanga ya Dar itawakaribisha Singida Big Stars, Uwanja wa Mkapa, Dar…

Read More

KIUNGO WA KAZI ANAREJEA TARATIBU AZAM FC

KIUNGO Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ameanza kurejea kwenye ubora wake baada ya kuwa nje kwa muda akitibu majeraha yake. Ingizo hilo jipya kutoka Coastal Union hajawa kwenye mwendo bora ndani ya Azam FC kwa kuwa mudamwingi anatumia akiwa nje ya uwanja. Kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting wakati Azam FC ikishinda bao 1-0 alionyesha…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI MBELE YA NAMUNGO

MOSES Phiri nyota wa Simba amefunga bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Ulikuwa ni mchezo wa wazi kwa timu zote mbili kusaka ushindi ambapo kipindi cha kwanza Simba walimaliza mchezo kwa kupata bao la ushindi. Ilikuwa ni dakikaya 32 Phiri alipachika bao hilo na kuipa pointi tatu…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

 LIGI Kuu Tanzania Bara leo Novemba 16,2022 inaendelea kwa timu kuyeyusha dakika 90 kusaka pointi tatu. Mtibwa Sugar ambayo imetoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Azam FC kwa kukubali ubao wa Uwanja wa Manungu usoma Mtibwa Sugar 3-4 Azam FC inakwakaribisha Coastal Union, Uwanja wa Manungu. Tanzania Prisons wao watakuwa na kibarua cha kusaka…

Read More

KIUNGO WA KAZI MKUDE KUIKOSA NAMUNGO KESHO

KIUNGO Jonas Mkude wa Simba kesha anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mkude ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Juma Mgunda anatarajiwa kukosekana kutokana na kutokuwa fiti kiafya. Simba imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu kesho itakuwa na kazi ya kusaka…

Read More

MTIBWA SUGAR HASIRA ZOTE KWA COASTAL UNION

AWADH Juma, kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar amesema kuwa hasira zote za kupoteza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC wanazipeleka kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union. Mtibwa Sugar ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-3 dhidi ya Azam FC mchezo uliochezwa Uwanja wa Manungu wikiendi iliyopita. Leo Mtibwa Sugar ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele…

Read More