MBRAZIL APEWA MIKOBA YA ZORAN SIMBA

RASMI Klabu ya Simba imemtangaza kocha Robertinho Oliveira kuwa kocha wao mkuu kupitia mkutano mkuu wa waandishi wa Habari uliofanyika leo Januari 3,2023. Kocha huyo anakuja kuchukua nafasi ya Zoran Maki aliyebwaga manyanga hapo mwanzoni mwa msimu huu. Kocha huyo mpya ni raia wa Brazil na alikuwa anaifundisha Klabu ya Vipers ya Uganda ambayo ameachana…

Read More

PENALTI YAZUA UTATA FUNGUA MWAKA

JANUARI Mosi 2023 ilishuhudiwa penalti ambayo iliwafanya wachezaji wa Namungo FC kuonekana wakimlalamikia mwamuzi kutokana na mazingira ya penalti hiyo kuleta utata. Langoni kwa Namungo FC alikaa kipa mzawa Deogratius Munish, ‘Dida’ ambaye hakuwa na chaguo kutokana na mpigaji kupiga kwa umakini. Ni Maabad Maulid alifunga bao hilo akisawazisha bao lililofungwa na Ibrahim Mkoko nakuwafanya…

Read More

SIMBA KAMILI MAPINDUZI CUP,KAZI INAANZA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema maandalizi yapo sawa na wataonyesha ushindani. “Tupo tayari kwa ushindani na tunajua kwamba haitakuwa kazi rahisi hivyo mashabiki wajue kwamba tutaonyesha ushindani. “Wachezaji wote ambao wapo kwenye kikosi cha Simba ni mali ya Simba na wanapaswa kutumikia timu yao. Januari 2,2023 kikosi cha Simba kiliibuka ndani…

Read More

AZAM FC WANALITAKA KOMBE LA SIMBA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa unalitaka Kombe la Mapinduzi hivyo hawatafanya makosa kwenye mashindano hayo. Ni Simba ambao ni mabingwa watetezi wa taji hilo la heshima ambalo limeanza Januari 2023, visiwani Zanzibar.  Ofisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe amesema kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa lakini wamedhamiria kufanya kweli. “Hatuna utani raundi hii…

Read More

HAKUNA AZIZ KI, HAKUN MAYELE YANGA MAPINDUZI CUP

BAADA ya kumaliza mchezo wa funga mwaka dhidi ya Mtibwa Sugar nyota Fiston Mayele ni miongoni mwa wale ambao wamepewamapumziko. Katika msafara wa leo wa kikosi cha Yanga ulioelekea Zanzibar, Mayele hakuwa kwenye kikosi hicho. Nyota wengine ni Aziz KI, Kibwana Shomari, Khalid Aucho, Yannick Bangala ambapo wote hawa wamepewa mapumziko. Kwa mujibu wa meneja…

Read More

SIMBA KUIBUKIA ZANZIBAR

MABINGWA watetezi wa Kombe la Mapinduzi Simba leo Januari 2,2023 wanatarajiwa kuanza safari kuelekea Zanzibar. Chini ya Kocha Mkuu mzawa Juma Mgunda kikosi hicho kinaelekea kuanza safari ya kutetea taji lao pekee ambalo walitwaa 2022. Ikumbukwe kwamba Simba ilishinda bao 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa na bao pekee la…

Read More

MSHAMBULIAJI YANGA NI COASTAL UNION

MSHAMBULIAJI Yusuph Athuman ambaye ni mali ya Yanga kwenye mzunguko wa pili atakuwa ndani ya kikosi cha Coastal Union. Coastal Union wamemchukua nyota huyo kwa mkopo ili kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji. Hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza cha Yanga kutokana na ushindani wa namba ambapo ni Fiston Mayele alikuwa akianza kikosi cha kwanza.

Read More

KOCHA HUYU HAPA KUTAMBULISHWA SIMBA

ROBERTINHO Oliviera raia wa Brazil anatajwa kumalizana na mabosi wa Simba kwa ajili ya kupewa mikoba ya Zoran Maki. Ikumbukwe kwamba baada ya Maki kusepa ndani ya kikosi cha Simba mwanzoni mwa msimu wa 2022/23 alikabidhiwa timu Juma Mgunda ambaye alitajwa kuwa atakuwa ni kocha mkuu wa muda. Kocha huyo alikuwa anainoa timu ya Vipers…

Read More

KIUNGO MZAMIRU NI MVIVU,MVIVU KWELIKWELI

KIUNGO mzawa ndani ya kikosi cha Simba, Mzamiru Yassin ni mvivu,mvivu,mvivu haswa kwenye kuongea lakini akiwa uwanjani anavunja jasho kwelikweli. Mara chache kumkuta akizungumza na hata akizungumza hana maneno mengi zaidi ya tunasmhurku Mungu na maandalizi yapo vizuri. Eneo lake la kati kwenye ukabaji bado Simba haina mbadala wake mzawa ikiwa atasepa kwenye kikosi cha…

Read More

AZAM FC YAFUNGA MWAKA KIBABE

UBAO wa Uwanja wa Azam Compex baada ya dakika 90 ulisoma Azam FC 6-1 Mbeya City na kuwafanya matajiri hao kufunga mwaka kibabe. ni Sopu alitupia kambani mabao mawili, Prince Dube, Keneth Muguna ,Nado na Mkandala walitupia bao mojamoja. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Azam Complex ulikuwa ni wa kufungia mwaka 2022. Bao la Meya…

Read More

HUKU NDIKO AMEIBUKIA FEI TOTO

2023 kiungo wa mpira mwenye mkataba na Yanga mpaka 2024 umemkutia akiwa ndani ya Dubai ambapo amekwenda kwa ajili ya majukumu yake. Nyota huyo mwenye mabao sita na pasi mbili za mabao amekuwa kwenye mvutano na mabosi wa timu yake kuhusu mkataba wake. Fei mwenyewe amewaaga mashabiki na kuwashukuru viongozi kwa muda ambao ametumika ndani…

Read More