
NABI:NIMEWAONA WAMEKWISHA
NABI:Nimewaona, wamekwisha, Baleke aandaliwa kuwamaliza Horoya ndani ya Championi Ijumaa.
NABI:Nimewaona, wamekwisha, Baleke aandaliwa kuwamaliza Horoya ndani ya Championi Ijumaa.
WAARABU wanakufa mapema, mastaa Yanga watengewe bil.1.6, Simba yaweka mikakati mizito CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino akiwa na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene baada ya kushiriki moja ya vipindi vinavyoendelea kwenye kozi ya Diploma katika Uongozi wa Klabu inayotolewa na FIFA (Diploma in Club Management). Kozi hiyo inafanyika mjini Tangier, Morocco. Try Again ni mmoja wa wajumbe watatu kutoka Afrika…
MSIKIE Kichuya kona nyota anayekipiga ndani ya kikosi cha Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara
Expanse Studios, mtengeneza programu anayekua kwa kasi zaidi katika michezo ya kasino mtandaoni ambayo mingi unaipata Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, anafuraha kutangaza ushiriki wake ujao katika ICE London 2023. Expo inayoongoza duniani kwa michezo ya kubahatisha. Tukio la kihistoria, litafanyika kwanzia 7-9 Februari 2023 huko ExCeL London, eneo maalum la kuendesha mapato kupitia ufumbuzi wa…
UZINDUZI wa uzi mpya wa Simba wenye nembo ya Visit Tanzania amao utatumika kwenye mechi z kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya Makundi
ALLY Kamwe azungumzia ishu ya Morrison/Yanga hawatishiki
ORODHA ya mastaa Simba wanaompa jeuri kocha kimataifa
UWANJA ambao Simba itautumia dhidi ya Horoya kimataifa
MSAFARA wa Yanga utakaowafuata wapinzani wao CAF
MASTAA watatu wazua hofu Simba, Waarabu waibeba Yanga CAF ndani ya Spoti Xtra Jumanne
Kuwa Mshindi na Titan Roulette Leo nataka nikupe chimbo moja la kucheza na kushinda kwa urahisi, ni pale Meridianbet kasino ya mtandaoni kuna sloti moja inaitwa Titan Roulette ni bonge moja la mchezo, tena linakupa nafasi ya kushinda mpaka mara 36 ya dau lako uliloweka. Mchezo huu wa Titan Roulette ni sloti bomba yenye miondoko…
KAMATI ya Mashindano ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) ilitangaza ratiba ya hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) maarufu kama FA. Simba ina kazi ya kusaka ushindi dhidi ya African Sports ya Tanga, Machi 2, Uwanja wa Mkapa, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons Machi 3 Uwanja wa Mkapa. Geita…
MZUNGUKO wa pili huwa unakuwa na mambo mengi jambo ambalo huwafanya wachezaji wengi kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi. Ukweli ni kwamba mechi za wakati huu ni lala salama kwa kuwa kitakachofuata ni maamuzi ya nini kitatokea kwa kile ambacho kimepandwa. Benchi la ufundi, uongozi pamoja na mashabiki muda wa kujipanga kwa makosa ya mzunguko uliopita ni sasa na itasaidia kuwa kwenye ushindani mzuri. Mashabiki na…