WINGA TP MAZEMBE AIPENYEZEA YANGA SIRI ZA USHINDI

WINGA wa zamani wa Yanga na TP Mazembe, Chiko Ushindi Wakubanza, amesema kama Yanga watapambana zaidi na kucheza kwa moyo mmoja, basi watapata matokeo mazuri mbele ya TP Mazembe, huku akibainisha kwamba. Ushindi ambaye aliitumikia Yanga msimu uliopita kwa mkopo akitokea TP Mazembe, kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Don Bosco ya nchini DR Congo…

Read More

CAF AFICANSCHOOLS FOOTBALL LEO NI LEO CHAMAZI

MASHINDANO ya vijana wa shule za Afrika Mashariki (CECAFA) yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi leo Ijumaa katika Uwanja wa Azama Complex Chamanzi. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa siku tatu yanashirikisha jumla ya nchi nane kutoka Afrika mashariki na kati huku Tanzania akiwa ndio mwenyeji wa michuano hiyo. Hizi ni mechi za Kanda za kufuzu…

Read More

ROBERTINHO: SAIDO KARUDI, RAJA HAWATOKI

KOCHA wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefunguka kuwa, watakuja kuzifunga timu zote kwenye Uwanja wa Mkapa wakianza na Raja Casablanca kwa kuwa wachezaji wake muhimu akiwemo Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ watakuwa fiti. Robertinho ameweka wazi kuwa, kilichowafanya wafungwe kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya wakiwa ugenini ni kukosa bahati…

Read More

KOCHA MAZEMBE AINGIA MCHECHETO

KOCHA Mkuu wa TP Mazembe mwenye uraia wa Ufaransa, Franck Dumas amesema kuwa ubora wa wachezji wa Yanga kama Aziz Ki na Fiston Mayele ni sababu ya wao kuwa siriazi ili kupata matokeo. TP Mazembe wanatarajiwa kucheza na Yanga Jumapili katika Uwanja wa Mkapa ukiwa ndio mchezo wao wa kwanza ugenini mara baada ya kuanza…

Read More

GUARDIOLA AWANYOOSHA ARSENAL

KOCHA Mkuu wa Manchester City amekiongoza kikosi hicho kusepa na ushindi mbele ya Arsenal.  Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England licha ya kwamba walikuwa ugenini waliwashushia kichapo wenyeji wao na kusepa na pointi tatu mazima Februari 15,2023 na kuongoza ligi. Baada ya zile dakika 90 za jasho ubao wa Uwanja wa Emirates pale kwa washika…

Read More

YANGA MACHO YOTE KWA TP MAZEMBE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kwenye mchezo wao wa Jumapili dhidi ya TP Mazembe huku yale yaliyotokea Tunisia wakiyaweka kando. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Februari 12 ilishuhudia ubao ukisoma US Monastir 2-0 Yanga kwenye mchezo wa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Jana msafara wa…

Read More

MALENGO YA SIMBA KIMATAIFA YAPO HIVI

UONGOZI wa Simba umesema kuwa malengo makubwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ni kupata ushindi. Ni Februari 18,2023 Simba ina kazi nzito ya kusaka ushindi dhidi ya vigogo Raja ambao wanaongoza kundi C wakiwa wametoka kuwatungua Vipers mabao 5-0. Leo Februari 15,2023 Simba imefanya uzinduzi wa kampeni…

Read More

ZIGO ZITO WAPEWA MANULA, BOCCO, CHAMA

MASTAA wa Simba ikiwa ni pamoja na John Bocco, Clatous Chama,Aishi Manula, Pape Sakho, Shomary Kapombe wamepewa zigo zito kuhakikisha wanapambana kupata matokeo kwenye mechi zote za hatua ya makundi. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira akishirikiana na Juma Mgunda ilianza kwa kuambulia kichapo ugenini ubao uliposoma Horoya 1-0 Simba mchezo wa Ligi…

Read More