
ROBO FAINALI CAF:WALETENI TUMALIZANE
Robo fainali CAF: Waleteni tumalizane ndani ya Championi Jumatano
Robo fainali CAF: Waleteni tumalizane ndani ya Championi Jumatano
Promosheni Kabambe ya Endorphina Kuutafuta utajiri ni rahisi sana kama ukiichagua kasino ya mtandaoni ya Meridianbet kwa sababu kila siku wanakuja na promosheni za kibabe kwaajili yako. Ukiweka kando michezo ya kubashiri soka, kuna bonasi na machaguo kibao. Hivyo saka utajiri kwa kucheza kasino ya mtandaoni kila siku na ujiweke kwenye nafasi ya kushinda mgao…
USHINDANI uliopo ndani ya Championship ikiwa ni mzunguko wa 25 unazidi kuleta raha ya kuifuatilia na kuona namna gani kila mmoja anavuna kile alichopanda. Kila timu inapambana kwa nafasi yake kutafuta ushindi kwa kuwa hakuna timu inayopenda kubaki pale ambapo ipo kwa muda mrefu ukizingatia kwamba kupanda daraja ni mafanikio. Uendeshaji wake ulivyo na namna…
MSIKE Mzee Muchachu kuhusu usajili amtaja Fei Toto
MABOSI wa Simba wameshtukia jambo zito baada tu ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufanya mabadiliko ya haraka kwa kuamua kumkabidhi timu kocha msaidizi ya timu hiyo, Juma Mgunda kuelekea katika mchezo dhidi ya Yanga inayoonolewa Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Simba imefanya mabadiliko hayo ya ndani baada ya…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amewachimba mkwara mabeki wa Simba akiwemo Josh Onyango kwa kuwaambia moja ya kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kuhakikisha anapata nafasi ya kuifunga timu hiyo katika Ligi Kuu Bara kuelekea mchezo wao wa Aprili 16, mwaka huu. Mayele ametoa kauli hiyo kufuatia rekodi yake katika Ligi Kuu Bara…
WINGA msumbufu wa TP Mazembe, Phillipe Kinzumbi ameweka wazi kuwa ameamua kukubali kumwaga wino Yanga kutokana na mambo matatu makubwa ambayo yamemvutia ndani ya timu hiyo. Nyota huyo usajili wake unatajwa kumalizwa na vigogo wa Yanga ambao walienda nchini DR Congo kwenye mechi ya marudiano kati ya Yanga na TP Mazembe ambayo ilipigwa Uwanja wa…
Sub-Heading: Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Kuna watu wana bahati sana kwenye Maisha, embu fikiria zali la Tsh milioni Hamsini na Nne na Laki Saba (54,700,000/=) linakuangukia wewe. Hii sio stori tena ni uhalisia kabisa…
ONYANGO apewa onyo na Yanga/Musonda atakimbizwa
LEO Azam FC inatupa kete yake kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Azam Complex. Mshindi ataungana na Singida ig Stars hatua ya nusu fainali kwa kuwa wao walishatangulia baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mbeya City. Azam FC ama Mtibwa Sugar kwa atakayepoteza mchezo wa leo…
YANGA ni vinara wa kundi D katika Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ubao wa Uwanja wa TP Mazembe kusoma TP Mazembe 0-1 Yanga. Bao la ushindi ni mali ya Farid Mussa huku kipa Metacha Mnata ikiwa ni mchezo wake wa kwanza anga za kimataifa akikamilisha dakika zote 90 bila kutunguliwa. US Monastir ushindi wao…
Kinzumbi ataja sababu 3 kusaini Yanga,Mgunda aachiwa msala wa Yanga ndani ya Championi Jumatatu
SINGIDA Big Stars imekata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation kwa ushindi wa mabao 4-1 Mbeya City Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Liti ikiwa ni hatua ya robo fainali. Watupiaji wa Singida Big Stars ni Bruno Gomes katupia kambani mara mbili Bright Adjei kamba moja Sawa na Francy Kazadi….
MENEJA Walter Harrison ameweka wazi kuwa watawateka wapinzani wao TP Mazembe na kuchukua pointi tatu ugenini kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Leo Yanga ikiwa inaongoza kundi D na pointi 10 baada ya kucheza mechi tano ina kete ya mwisho dhidi ya TP Mazembe mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mazembe. Ipo wazi…
NI Metacha Mnata ameanza langoni kwenye kikosi cha leo akichukua nafasi ya Djigui Diarra ambaye ataukosa mchezo wa makundi dhidi ya TP Mazembe Dickson Job Lomalisa Mwamnyeto Bacca Bangala Moloko Sure Boy Mayele Mudhathir Musonda