MBWANA SAMATTA KUGOMBEA URAIS TFF

NAHODHA wa Taifa Stars na mshambuliaji wa KRC Genk anayecheza hapo kwa mkopo akitokea Fernebache ya Uturuki Mbwana Samatta amefunguka kuwa, siyo ajabu siku moja akwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Samatta aliyasema hayo wakati alipohojiana na Salama Jabir kwenye kipindi cha Salama Na, aliweka wazi kuwa yeye ana uchu wa mafanikio na…

Read More

BANDA ANAREJEA MDOGOMDOGO

NYOTA wa Simba, Peter Banda anaendelea na program maalumu itakayomrejesha kwenye ubora wake. Mchezaji huyo hajaonekana uwanjani kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na ushindani kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu. Ni kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars alipata maumivu alipoingia akitokea benchi na alifunga bao moja. Ngoma ilikuwa nzito katika mchezo huo…

Read More

MGUNDA KWA REKODI HII ANASTAHILI PONGEZI

KWENYE mchujo wa fainali yao katika msako wa kocha bora mwezi Desemba 2022 ni mzawa Juma Mgunda kasepa na tuzo hiyo. Kwa mujibu wa Kamati ya Tuzo iliyo chini ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) imeeleza kuwa kikao cha majadiliano kilifanyika Januari 7,Desemba 2023. Mgunda amewashinda wageni Hans Pluijm na Nasreddine Nabi ambao aliingia nao…

Read More

GEITA GOLD MASTAA WAKE WANASEPA

BAADA ya Kelvin Nashon kusepa ndani ya Geita Gold na kuibukia Singida Big Stars nyota mwingine anatajwa kusepa ndani ya kikosi hicho. Ni mshambuliaji ambaye ni nahodha pia Danny Lyanga anatajwa kuibukia Dodoma Jiji. Lyanga ni mshambuliaji hivyo anakwenda kuongeza nguvu Dodoma Jiji ambayo imefunga mabao 14 kwenye mechi 19. Wengine waliosepa Geita Gold ni…

Read More

NAMUNGO WAGOTEA NUSU FAINALI,MLENDEGE WAMEPENYA

BAO la mapema lililojazwa kimiani na staa wa Namungo FC, Ibrahim Mkoko dakika ya 07 halikutosha kuifikisha timu hiyo kutoka bara hatua ya fainali. Ni kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023 hatua ya nusu fainali ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Mlandege 1-1 Namungo. Bao lililoweka usawa kwa Mlandege…

Read More

MBRAZIL WA SIMBA AMEANZA TAMBO

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliviera raia wa Brazil ameweka wazi kuwa kwa namna ambavyo ameanza kazi na wachezaji wa timu hiyo amefurahishwa na uwezo wao. Kocha huyo raia wa Brazil amepewa mikoba ya Zoran Maki aliyevunja mkataba na timu hiyo mwanzoni mwa msimu wa 2022/23. Nchini Dubai Simba imeweka kambi yake ambayo itachukua siku…

Read More

FOBA AJIFUNZE ILI AKOMAE

KIJANA mdogo kafanya makosa ya kitoto dakika ya 27 mbele ya Singida Big Stars kwenye mchezo wa kuwania nafasi ya kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi 2023. Zuber Foba mpira aliorejeshewa na beki wake alikuwa na chaguo la kumpelekea Bruce Kangwa ambaye alikuwa kwenye eneo sahihi. Alikuwa anapewa maelekezo pia na mchezaji mwenzake…

Read More

MUDATHIR AAHIDI MAPAMBANO YANGA

KIUNGO mpya wa Yanga, Mudathir Yahya, ameweka wazi kuwa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, kina wachezaji wazuri jambo linalomfanya azidi kupambana. Ingizo hilo jipya ndani ya Yanga, mchezo wake wa kwanza kucheza ilikuwa dhidi ya KMKM katika Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo aliingia dakika ya 77 kuchukua nafasi ya Clement Mzize. Kwenye…

Read More

JEMBE JIPYA AZAM FC HILI HAPA LATAMBULISHWA

RASMI Azam FC imemtambulisha nyota mpya katikakikosi hicho ambaye ni kipa. Taarifa ya matajiri hao wa Dar imeeleza kuwa wameinasa saini ya nyota huyo kutoka Ghana, Abdulai Iddrisu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Bechem United ya kwao Ghana. Kazi imeanza kwa mabosi hao ambao waliweka wazi kuwa usajili wao utakuwa na mtikisiko ndani ya…

Read More