
SIMBA WATOA TAMKO ZITO, MUSONDA AANZA JEURI
SIMBA watoa tamko zito, Musonda aanza jeuri Yanga SC ndani ya Spoti Xtra, Jumanne
SIMBA watoa tamko zito, Musonda aanza jeuri Yanga SC ndani ya Spoti Xtra, Jumanne
MANZOKI akubali muziki wa Simba, aitabiria makubwa
JANUARI 30,2023 Yanga imezindua uzi wao mpya kwa ajili ya mechi za kimataifa ikiwa imetinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Februari 12 ina kibarua kwenye mchezo wa kimataifa. Kabla ya kusepa Bongo bado itakuwa na kazi ya kucheza mchezo mmoja wa ligi itakuwa dhidi…
KLABU ya Singida Big Stars kwa sasa ipo Dara kwa ajili ya maandalizi ya mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Ijumaa ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza kugawana pointi mojamoja kwa kufungana bao 1-1. Ni nyota Kaseke anayetumikia adhabu…
WANACHAMA wa Simba wafungukia ishu ya uchaguzi wa Simba na hali yakufikia malengo yao kitaifa na kimataifa
HIVI ndivyo mvua ya mabao ilivyokuwa kwa Rhino Rangers huku Musonda akifungua akaunti ya mabao
Kampuni ya Habari ya Africa Media inayomilika vituo vya utangazaji Channel 10 na Magic FM, ambacho ni kituo cha matangazo ya redio, leo Januari 30, 2023 wamekabidhiwa Vifaa vya Michezo na Meridianbet kama vile Jezi kwaajili ya kufanyia mazoezi ya mwili. Meridianbet iliwakilishwa na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Matina Nkurlu pamoja na…
MANZOKI:Huyu Baleke Simba wamepata jitu. Yanga waukwepa mtego wa Watunisia CAF ndani ya Championi Jumatatu
Murtaza Mangungu ameshinda uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu kwa kupata kura 1,311. Tayari kwa sasa uongozi mpya umepatikana na kampeni muda wake umekwisha. Yale yote ambayo ymaetokea kwenye masuala ya uchaguzi pamoja na kampeni ni muhimu kuyafanyia kazi ili kuwa imara wakati ujao. Kwa walioshinda hongereni na tunatambua kwamba mmetoa ahadi kwa wachama na…
Murtaza Mangungu ameshinda kiti cha Uenyekiti wa klabu ya Simba kwa mara nyingine tena akimpiga chini mgombea Mwenza Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266. Katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) kuanzia jana Januari 29 hadi lao Januari 30, 2023 Mangungu alipata kura 1311…
YANGA imetinga hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 70-0 dhidi ya Rhino FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Vijana wa Rhino Rangers wameshuhudia mabao hayo dakika ya 7 kupitia kwa Dickson Ambundo, Kennedy Musonda dakika ya 15, Aziz KI dakika ya 19, Yannick Bangala dakika ya 26 n kiungo…
UWANJA wa Mkapa dakika 45 za mwanzo ubao unasoma Yanga 5-0 Rhino Rangers. Ni mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora ambapo mshindi atatinga hatua ya 16 bora na Yanga ni mabingwa watetezi. Vijana wa Rhino Rangers wameshuhudia mabao hayo dakika ya 7 kupitia kwaDickson Ambundo, Kennedy Musonda dakika ya 15, Aziz KI…
AHEMD Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema Coastal Union walikuwa wanacheza kwa kujilinda zaidi jambo lililowapa ugumu kupata ushindi huku akimzungumzia Manzonki kuwa amekuwa kuwasalimia Wanasimba
HELLO Januari, watambue makipa waliopata tabu Januari, Manula ndani
JUMA Mgunda kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa walitengeneza nafasi kipindi cha kwanza na kushindwa kuzitumia
LEO Jumapili Klabu ya Sima inatarajiwa kufanya mkutano mkuu wenye ajenda 13 ikiwemo suala la uchaguzimkuu wa kuchagua mwenyekiti na wajumbe watano wa Bodi ya Wakurugenzi. Katika uchaguzi huo wanaowania nafasi ya mwenyekiti ni Murtanza Mangungu anayetetea kiti chake na Moses Kaluwa. Wajumbe ni Seif Ramadhan Muba, Seleman Harub Said,Iddi Halifa Kitete,Issa Masoud Iddi,Abubabakar Zebo,Abdallah…
MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Yanga chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi leo Januari 29,2023 wana kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya tatu. Yanga inatarajiwa kumenyana na Rhino Rangers FC ambao nao wameweka wazi kuwa wanahitaji ushindi ili kutinga raundi ya 16 bora. Tayari wapinzani wao wakubwa ambao ni Simba, Singida…