NYOTA HAWA WA KAZI KUIKOSA REAL BAMAKO

NYOTA wa Yanga, Jesus Moloko kuna hatihati akaukosa mchezo wa leo dhidi ya Real Bamako kutokana na kutokuwa fiti. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Azam Sports Federation dhidi ya Tanzania Prisons ambao ulikuwa ni wa hatua ya 16 bora. Moloko ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ambapo kwenye…

Read More

IHEFU WAKIMBIZA FEBRUARI

IHEFU yenye maskani yake pale Mbeya imepeta kwa Februari baada ya kusepa na tuzo mbili mazima. Ni tuzo ya mchezaji bora ambayo ipo mikononi mwa Yacouba Songne ambaye ni mshambuliaji aliyejiunga na timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga. Yacouba amewashinda wachezaji wenzake ambao ni Elias Maguli wa Geita Gold na  Meddie Kagere wa Singida Big…

Read More

HIVI NDIVYO NGOMA ILIVYOPIGWA MPAKA ROBO FAINALI

NGOMA ilipigwa na mwisho wa siku timu nane zimetinga hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation. Hapa  tunakuletea namna kazi ilivyokuwa kwa wapambanaji hao kusaka ushindi namna hii:- Simba 4-0 African Sports, Uwanja wa Uhuru Ilikuwa Machi 2,2023 ambapo mabao ya Simba yalifungwa na Jean Baleke dakika ya 36,Kennedy Juma dakika ya 47,…

Read More

SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA VIPERS

LICHA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Vipers bado lile pira Dubai kwa Simba linasakwa kwa tabu sana na ubutu wa ushambuliaji ukiwa ni shida. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi limefungwa na Clatous Chama katika dakika ya 45. Shukrani kwa Aishi Manula kwa kazi…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Vipers Uwanja wa Mkapa Aishi Manula Shomari Kapombe Henock Inonga Joash Onyango Mohamed Hussein Mzamiru Yassin Sadio Kanoute Clatous Chama Saidi Ntibanzokiza Pape Sakho Moses Phiri Akiba Beno Kakolanya Israel Mwenda Kennedy Juma Jonas Mkude Peter Banda Erasto Nyoni John Bocco Jean Baleke Habib Kyombo

Read More

SABABU YA SURE BOY KUIKOSA REAL BAMAKO IPO HIVI

VIONGOZI wa Klabu ya Yanga ikiwa ni pamoja na Rais Injnia Hersi Said leo Machi 7,2023 leo mchana walishiriki kwenye mazishi ya kumuaga mtoto wa mchezaji Salum Abubakar, Magomeni, Dar es Salaam. Pia Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi naye alikuwa miongoni mwa waliohudhuria. Kwa mujibu wa Nabi, kiungo huyo hatakuwa sehemu ya kikosi kitakachopambana…

Read More

KMC KWENYE KIBARUA KINGINE TENA

IKIWA imefungashiwa virago kwenye Kombe la Azam Sports Federation ubao wa Uwanja wa Manungu uliposoma Mtibwa Sugar 1-0 KMC kuna kibarua kingine kizito kinawakabili. KMC chini ya Kocha Hitimana Thiery haijawa na mwendo mzuri kwenye mechi zake za ligi na sasa matumaini ya kutwaa taji la Azam Sports Federation yameyeyuka baada ya kuondolewa hatua ya…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU NDEFU REAL BAMAKO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kuvunja rekodi ya mabao waliyowafunga TP Mazembe kwenye mchezo wa kimataifa. Timu hiyo ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Machi 8 in kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Real Bamako ambapo mchezo wao uliopita waligawana pointi mojamoja nchini Mali. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema…

Read More

TIZI LA MWISHO LA SIMBA LILIKUWA NOMA

KIKOSI cha Simba jana Machi 6,2023 kilifanya mazoezi ya mwisho Kwa ajili ya kuikabili Vipers mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya makundi. Simba ambayo ipo kundi C ikiwa na pointi tatu nafasi ya tatu Leo ina kibarua cha kusaka pointi nyingine Uwanja wa Mkapa Saa 1:00 usiku. Katika mazoezi hayo wachezaji…

Read More

BEKI MTIBWA SUGAR KUPUMZISHWA SHINYANGA

IDDY Mobby aliyekuwa beki wa Mtibwa Sugar baada ya kutangulia mbele za haki mwili wake umepelekwa leo Machi 6,2023 nyumbani kwao mkoani Shinyanga. Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho Machi 07, 2023. Beki huyo ambaye amewahi kucheza Polisi Tanzania alipokuwa ni nahodha taarifa za kutangulia mbele za haki zilitolewa Machi 5. Alikutwa na umauti alipokuwa akipatiwa matibabu….

Read More

SIMBA:VIPERS HATOKI SALAMA KWA MKAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mashabiki ni muhimu kwenye mchezo wao dhidi ya Vipers ambao ni Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Vipers unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema kuwa kila mtu atatimiza wajibu wake kupata ushindi…

Read More

YACOUBA ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA

NYOTA Yacouba Songne amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Yacouba kwa sasa yupo ndani ya Ihefu ambapo aliibuka hapo akitokea kikosi cha Yanga ambapo alisitisha mkataba wake. Ni Meddie Kagere wa Singida Big Stars na Elias Maguli wa Geita Gold hawa alikuwa nao kwenye fainali wakishindania tuzo hiyo….

Read More