SIMBA YAIFUATA MTIBWA SUGAR

KIKOSI cha Simba leo Machi 9 2023 kimeibukia Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira mapema leo kilifanya mazoezi kabla ya kuanza msafara wa kuelekea Moro mji kasoro bahari. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao unatarajiwa kuchezwa Jumamosi saa 10:00 jioni…

Read More

UNAMBIWAJEE UNAPOCHEZA SLOTI YA AVIATOR-MERIDIANBET UNAPATA MIZUNGUKO 500 YA BURE KILA SIKU

Haijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unambiwa sloti hii inatoa hela balaa unaanzaje kuikosa hii. Kwa dau la kuanzia Tsh 200 unaweza kuizalisha na kuwa mamilioni ya hela kupitia mizunguko 500 ya bure inayotolewa kila siku baada ya…

Read More

KMC WAICHAPA KAGERA SUGAR

HATIMAYE leo Machi 9,2023 KMC imepata ushindi mbele ya Kagera Sugar na kusepa na pointi tatu mazima. KMC haikuwa kwenye mwendo mzuri kwenye mechi zake za hivi karibuni ambapo ilipotoka kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Yanga ikapoteza pia mbele ya Azam FC kwenye mechi za ligi ilizocheza Dar. Ni mabao ya Daruesh Saliboko dakika ya…

Read More

KAGERA SUGAR KWENYE KIBARUA UHURU

NI kocha bora wa Februari Mecky Maxime leo Machi 9,2023 ana kibarua cha kuongoza kikosi chake dhidi ya KMC. Kocha huyo ambaye anapenda kuona vijana wakicheza kwa kujiamini mchezo wake uliopita wa ligi alishuhudia ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 1-0 Namungo. Ilikuwa ni Februari 18 ambapo bao pekee la ushindi lilijazwa kimiani…

Read More

YANGA YAITUNGUA REAL BAMAKO KIMATAIFA

BAADA ya Fiston Mayele kupachika bao la kuongoza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi msumari mwingine umejaa kimiani. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 2-0 Real Bamako ikiwa ni mchezo wa kimataifa. Mayele alianza kupachika bao dakika ya 8 akiwa ndani ya 18 lilidumu mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza….

Read More

KMC KAMILI KUIKABILI KAGERA SUGAR

UOGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Machi 9,2023 Uwanja wa Uhuru. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hao kumenyana uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Rekodi mbaya kwa timu zote mbili zimetoka kufungashiwa virago kwenye Azam Sports…

Read More

MWANA FA:NILIONA MABAO SABA KWA SIMBA

MWANA FA amesema kuwa aliona nafasi saba za Simba kufunga lakini juhudi zao zilikwama na mwisho mfungaji akawa ni Clatous Chama jambo ambalo ni pongezi kwa timu kupata pointi tatu. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa dakika 90 zilizomsa Simba 1-0 Vipers FC ya Uganda. Mwana FA amesema:”Niliona namna wachezaji ambavyo mlikuwa mnapambana kusaka…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Real Bamako, Uwanja wa Mkapa hiki hapa:- Diarra Djigui Djuma Shaban Joyce Lomalisa Mwamnyeto Job Bangala Kisinda Mudhathir Mayele Aziz KI Musonda Akiba Metacha Bacca Kibwana Mauya Doumbia Aucho Farid Moloko

Read More

MANULA KIMATAIFA KWENYE DAKIKA 180 ZA KICHEKO

SHUKRANI kwa Aishi Manula namna ambavyo amekuwa akizungumza na mabeki wake licha ya makosa ambayo hayazuiliki. Manula kwenye mechi mbili mfululizo anga za kimataifa hajatunguliwa mechi ambazo amekaa langoni dhidi ya Vipers Uganda. Kazi kubwa kwa safu ya ulinzi pamoja na viungo bila kusahau washambuliaji kwa kuwa kuwa wakati walikuwa wanarejea nyuma kulinda. Dakika 180…

Read More

MWAMBA HUYU AINGA ANGA ZA JANGWANI

NYOTA Cheickna Diakite anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga, Nyota huyo anakipiga ndani ya kikosi cha Real Bamako ambacho leo kitatupa kete yake dhidi ya Yanga. Winga huyo ni moja ya wanaofanya vizuri kwenye kikosi hicho ambacho kina maskani yake Mali. Ni miaka 18 anayo kijana huyo akiwa anakipiga ndani ya Real Bamako.

Read More

NYOTA HAWA WA KAZI KUIKOSA REAL BAMAKO

NYOTA wa Yanga, Jesus Moloko kuna hatihati akaukosa mchezo wa leo dhidi ya Real Bamako kutokana na kutokuwa fiti. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Azam Sports Federation dhidi ya Tanzania Prisons ambao ulikuwa ni wa hatua ya 16 bora. Moloko ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ambapo kwenye…

Read More

IHEFU WAKIMBIZA FEBRUARI

IHEFU yenye maskani yake pale Mbeya imepeta kwa Februari baada ya kusepa na tuzo mbili mazima. Ni tuzo ya mchezaji bora ambayo ipo mikononi mwa Yacouba Songne ambaye ni mshambuliaji aliyejiunga na timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga. Yacouba amewashinda wachezaji wenzake ambao ni Elias Maguli wa Geita Gold na  Meddie Kagere wa Singida Big…

Read More

HIVI NDIVYO NGOMA ILIVYOPIGWA MPAKA ROBO FAINALI

NGOMA ilipigwa na mwisho wa siku timu nane zimetinga hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation. Hapa  tunakuletea namna kazi ilivyokuwa kwa wapambanaji hao kusaka ushindi namna hii:- Simba 4-0 African Sports, Uwanja wa Uhuru Ilikuwa Machi 2,2023 ambapo mabao ya Simba yalifungwa na Jean Baleke dakika ya 36,Kennedy Juma dakika ya 47,…

Read More