NABI:MARUMO SIO TIMU MBAYA TUPO TAYARI KUWAKABILI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wapinzani wao Marumo Gallants atakaokutana nao kwenye hatua ya nusu fainali sio wabaya ni timu nzuri. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na tayari wapinzani wao Gallants wamewasili Bongo alfajiri ya leo. Nabi amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo huo wa kesho na mahitaji makubwa…

Read More

NI USIKU MWINGINE WA KAZI KWA SIMBA

BAADA ya kumaliza mwendo kwenye kuwania Kombe la Azam Sports Federation sasa nguvu za Simba ni kwenye mechi za ligi. Ni usiku mwingine kwa kazi ya msako wa pointi tatu muhimu ndani ya ligi, Ruvu Shooting wanapambana kupata pointi tatu wacheza mchezo wa mtoano . Vinara wa ligi ni Yanga ambao wamekuwa kwenye mwendo mzuri…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,HESABU ZIPO HIVI

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kimerejea salama salmin Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo imebakiza mechi tatu ndani ya ligi baada ya kucheza mechi 27 na kukusanya pointi 64. Vinara wa ligi ni Yanga ambao wao kibindoni wana jumla ya pointi 71 nao wana…

Read More

KOCHA ONGALA KAWAZIDI SIMBA NJE NDANI

MBINU za Kali Ongala muda wote zimekuwa ngumu dhidi ya Simba wanapokutana ndani ya dakika 90. Ongala dhidi ya Yanga alikwama kusepa na pointi mzunguko wa pili ila ule mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Mbele ya Singida Big Stars ugenini walipoteza kwa kufungwa bao 1-0. Ni bao moja Simba wamefanikiwa kuifunga…

Read More

MUDA HAUSUBIRI KAZI LAZIMA IENDELEE

MUDA hausubiri na kila mmoja anapambana kusaka ushindi kwenye mechi ambazo anacheza hilo ni jambo la muhimu kwa kila timu. Wachezaji wanajituma na kufanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi na wapo ambao wamekuwa wakionyesha uwezo mkubwa ndani ya uwanja. Kila timu ina kazi kusaka ushindi ikiwa ni kwenye mechi za lala salama kwa sasa kutokana…

Read More

MDAKA MISHALE KAWAKIMBIZA KINOMANOMA

DJIGUI Diarra, kipa namba moja wa Yanga amewakimbiza wapinzani wake wote kwenye kucheza mechi nyingi bila kufungwa ndani ya Ligi Kuu Bara. Anapambania tuzo yake ya kuwa kipa bora msimu uliopita aliyosepa nayo alipokuwa akishindana na kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula. Msimu huu wa 2022/23 Djigui ni mechi 24 kacheza kwenye ligi akisepa…

Read More

HUKU NDIKO HESABU ZA IHEFU ZILIPO

UONGOZI wa Ihefu umebainisha kuwa umeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Coastal Union. Ihefu inashikilia rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu wa 2022/23 walipokutana Uwanja wa Highland Estate mzunguko wa kwanza. Mzunguko wa pili Yanga walilipa kisasi kwa kuitungia Ihefu bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Mchezo…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC

KIKOSI cha Simba dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation:- Ally Salim ameanza langoni Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu Dennis

Read More

MUZIKI HUU WA SIMBA KUWAVAA AZAM FC

BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Azam FC watacheza wachezaji wote wa timu hiyo kwa kuwa wanatambua wajibu ni lazima utimizwe. Ni Yanga wenye taji hilo mkononi ambapo watacheza na Singida Big Stars hatua ya nusu fainali ya pili na mshindi atavaana na atakayepenya leo. Leo Simba…

Read More