
HAWATAAMINI WASAUZI,SIMBA YAMALIZANA NA STRAIKA WA MABAO
HAWATAAMINI Wasauzi, Robertinho amalizana na straika wa mabao ndani ya Championi Jumatano
HAWATAAMINI Wasauzi, Robertinho amalizana na straika wa mabao ndani ya Championi Jumatano
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wapinzani wao Marumo Gallants atakaokutana nao kwenye hatua ya nusu fainali sio wabaya ni timu nzuri. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na tayari wapinzani wao Gallants wamewasili Bongo alfajiri ya leo. Nabi amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo huo wa kesho na mahitaji makubwa…
BAADA ya kumaliza mwendo kwenye kuwania Kombe la Azam Sports Federation sasa nguvu za Simba ni kwenye mechi za ligi. Ni usiku mwingine kwa kazi ya msako wa pointi tatu muhimu ndani ya ligi, Ruvu Shooting wanapambana kupata pointi tatu wacheza mchezo wa mtoano . Vinara wa ligi ni Yanga ambao wamekuwa kwenye mwendo mzuri…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wachezaji wamejiandaa kikamilifu kuikabili Marumo Gallants ya Afrika Kusini huku akibainisha kuwa wapinzani wao ni wagumu na wacheukua tahadhari
KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kimerejea salama salmin Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo imebakiza mechi tatu ndani ya ligi baada ya kucheza mechi 27 na kukusanya pointi 64. Vinara wa ligi ni Yanga ambao wao kibindoni wana jumla ya pointi 71 nao wana…
PANGA zito lapita Simba, beki la CAF lasaini miaka mitatu Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne
HAMNA namna ilikuwa ni lazima mshindani apatikane ndani ya dakika 90 kila shabiki anarejea na alichokivuna kutoka kwa timu yake. Wale wa Simba ni safari ndefu kutoka Uwanja wa Nangwanda Sijaona mpaka kule wanakoelekea labda iwe ni Njombe ama Dar lakini wa Azam FC ni burudani tosha. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni…
MBINU za Kali Ongala muda wote zimekuwa ngumu dhidi ya Simba wanapokutana ndani ya dakika 90. Ongala dhidi ya Yanga alikwama kusepa na pointi mzunguko wa pili ila ule mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Mbele ya Singida Big Stars ugenini walipoteza kwa kufungwa bao 1-0. Ni bao moja Simba wamefanikiwa kuifunga…
MUDA hausubiri na kila mmoja anapambana kusaka ushindi kwenye mechi ambazo anacheza hilo ni jambo la muhimu kwa kila timu. Wachezaji wanajituma na kufanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi na wapo ambao wamekuwa wakionyesha uwezo mkubwa ndani ya uwanja. Kila timu ina kazi kusaka ushindi ikiwa ni kwenye mechi za lala salama kwa sasa kutokana…
DJIGUI Diarra, kipa namba moja wa Yanga amewakimbiza wapinzani wake wote kwenye kucheza mechi nyingi bila kufungwa ndani ya Ligi Kuu Bara. Anapambania tuzo yake ya kuwa kipa bora msimu uliopita aliyosepa nayo alipokuwa akishindana na kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula. Msimu huu wa 2022/23 Djigui ni mechi 24 kacheza kwenye ligi akisepa…
VYUMA vitatu vya Nabi,Msauzi hachomoki, Chama kagawanyika vipandevipande Simba ndani ya Championi Jumatatu
UONGOZI wa Ihefu umebainisha kuwa umeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Coastal Union. Ihefu inashikilia rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu wa 2022/23 walipokutana Uwanja wa Highland Estate mzunguko wa kwanza. Mzunguko wa pili Yanga walilipa kisasi kwa kuitungia Ihefu bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Mchezo…
AZAM FC imewaua kiume Simba kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation mchezo uliochezwa Uwanja wa Nangwada Sijaona. Ubao umesoma Azam FC 2-1 Simba na kufungashiwa virago mazima kwenye mashindano haya mpaka wakati ujao tena. Ni Lusajo Mwaikenda dakika ya 22 alianza kupachika bao kwa Azam FC kisha usawa ukawekwa…
KIKOSI cha Azam FC dhidi ya Simba nusu fainali Azam Sports Federation Uwanja wa Nangwanda Sijaona ni:- Iddrisu Abdulai Lusajo Mwaikenda Bruce Kangwa Daniel Amoah Abdalah Kheri Isah Ndala Ayoub Lyanga Bajana Idris Mbombo James Akamiko
KIKOSI cha Simba dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation:- Ally Salim ameanza langoni Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu Dennis
MASHABIKI wa Yanga wameibuka Uwanja wa Nangwanda Sijaona kwa ajili ya kuitazama mechi ya nusu fainali kati ya Azam FC v Simba leo Mei 7,2023.
BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Azam FC watacheza wachezaji wote wa timu hiyo kwa kuwa wanatambua wajibu ni lazima utimizwe. Ni Yanga wenye taji hilo mkononi ambapo watacheza na Singida Big Stars hatua ya nusu fainali ya pili na mshindi atavaana na atakayepenya leo. Leo Simba…