
Sports


VIDEO; HIVI NDIVYO UZI MPYA WA SIMBA ULIVYOZINDULWA
UZINDUZI wa uzi mpya wa Simba wenye nembo ya Visit Tanzania amao utatumika kwenye mechi z kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya Makundi

VIDEO”ALLY KAMWE AZUNGUMZIA ISHU YA MORISSON/YANGA HAWATISHIKI
ALLY Kamwe azungumzia ishu ya Morrison/Yanga hawatishiki

ORODHA YA MASTAA SIMBA WANAOMPA JEURI KOCHA KIMATAIFA
ORODHA ya mastaa Simba wanaompa jeuri kocha kimataifa

UWANJA AMBAO SIMBA ITAUTUMIA DHIDI YA HOROYA KIMATAIFA
UWANJA ambao Simba itautumia dhidi ya Horoya kimataifa

MSAFARA WA YANGA UTAKAOWAFUATA WAPINZANI WAO CAF
MSAFARA wa Yanga utakaowafuata wapinzani wao CAF


MASTAA WATATU WAZUA HOFU SIMBA, WAARABU WAIBEBA YANGA CAF
MASTAA watatu wazua hofu Simba, Waarabu waibeba Yanga CAF ndani ya Spoti Xtra Jumanne

TITAN ROULETTE NDANI YA MERIDIANBET USHINDI MARA NYINGI ZAIDI
Kuwa Mshindi na Titan Roulette Leo nataka nikupe chimbo moja la kucheza na kushinda kwa urahisi, ni pale Meridianbet kasino ya mtandaoni kuna sloti moja inaitwa Titan Roulette ni bonge moja la mchezo, tena linakupa nafasi ya kushinda mpaka mara 36 ya dau lako uliloweka. Mchezo huu wa Titan Roulette ni sloti bomba yenye miondoko…

AZAM FC,YANGA, SIMBA KUPAMBANA NA HAWA FA
KAMATI ya Mashindano ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) ilitangaza ratiba ya hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) maarufu kama FA. Simba ina kazi ya kusaka ushindi dhidi ya African Sports ya Tanga, Machi 2, Uwanja wa Mkapa, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons Machi 3 Uwanja wa Mkapa. Geita…
AKILI KUBWA MZUNGUKO WA PILI MATUMIZI YA NGUVU NI MAUMIVU
MZUNGUKO wa pili huwa unakuwa na mambo mengi jambo ambalo huwafanya wachezaji wengi kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi. Ukweli ni kwamba mechi za wakati huu ni lala salama kwa kuwa kitakachofuata ni maamuzi ya nini kitatokea kwa kile ambacho kimepandwa. Benchi la ufundi, uongozi pamoja na mashabiki muda wa kujipanga kwa makosa ya mzunguko uliopita ni sasa na itasaidia kuwa kwenye ushindani mzuri. Mashabiki na…

LIGI KUU TANZANIA BARA KUKIWASHA LEO
FEBRUARI 6,2023 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa timu kusaka pointi tatu muhimu. Ni Polisi Tanzania watakuwa Uwanja wa Ushirika Moshi wakimenyana na Kagera Sugar ndani ya dakika 90. Polisi Tanzania imekusanya pointi 15 kibindoni baada ya kucheza mechi 21 huku Kagera Sugar wakiwa wamekusanya pointi 25 kibindoni. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na…

JOB NA AZIZ KI WALIMALIZA KAZI MAPEMA
JOB na Aziz KI walimaliza kazi Uwanja wa Mkapa namna hii

NABI AWAKWEPA WAARABU BONGO, SAIDO,CHAMA WAMPA JEURI
NABI awakwepa Waarabu Bongo, Saido, Chama wampa jeuri Robertinho CAF ndani ya Championi Jumatatu.

ADRAR UWANJA BORA NDANI YA MTWARA YA MOROCCO
NA SALEH ALLY, AGADIR KAMA Morocco ingepata nafasi ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 2010, Uwanja wa Adrar ulipangwa kutumika kwenye moja ya michezo muhimu ya mtoano ya hatua ya robo fainali. Bahati mbaya kwa Morocco, nafasi hiyo ikaenda kwa Afrika Kusini na baada ya hapo, wakaamua kuendeleza taratibu ujenzi wa uwanja huo hadi ulipokamilika…

VIDEO:NABI:HATUKUCHEZA VIZURI LAKINI TUMEPATA POINTI TATU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwenye mchezo wao dhidi ya Namungo hawakucheza vizuri lakini walipata matokeo mazuri kutokana na kuwapa muda wachezaji wengine ambao walikuwa wanasumbuliwa na majeruhi

EVERTON YAIVUTA SHATI ARSENAL LIGI KUU ENGLAND
EVERTON yaivuta shati Arsenal ndani ya Ligi Kuu England baada ya kuwatungua kwenye mchezo wao walipokutana. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Goodison Park ulisoma Everton 1-0 Arsenal ambao ni vinara wa ligi. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilipachikwa kimiani na James Tarkowski dakika ya 60. Huo ulikuwa ni ushindi wa…