
BEKI YANGA AWEKA REKODI YAKE KIMATAIFA
BEKI mzawa Bakari Mwamnyeto kwenye anga la kimataifa ana pasi mbili kàtika Kombe la Shirikisho Afrika. Pasi zote mbili alitoa akitumia mguu wa kulia nchini Nigeria ubao ulisoma Rivers United 0-2 Yanga. Pasi zote alitoa kipindi cha pili ambapo moja ilikuwa nje ya 18 na moja ndani ya 18. Pasi hizo mbili mtupiaji alikuwa ni…