KINAWAKA LEO LIGI KUU BARA

HATIMAYE kivumbi cha Ligi Kuu Tanzania Bara kinatarajiwa kuanza leo Agosti 2023 kwa baadhi ya mechi kupigwa viwanjani. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 ambapo mabingwa walikuwa ni Yanga tarehe kama ya leo Agosti 15 ligi ilianza na mchezo wa ufunguzi ilikuwa Ihefu 0-1 Ruvu Shooting. Ihefu timu ya kwanza kuitungua Yanga kwenye ligi inakwenda kufungua…

Read More

UCHAWI WA ALLY SALIM NA PENALTI UPO HAPA

MLINDA mlango wa Simba, Ally Salim, amefunguka kuwa siri kubwa ya kuokoa penalti tatu kati ya nne zilizopigwa na Yanga katika mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii, ni maelekezo aliyopewa na kocha wao wa makipa, Daniel Cadena. Salim jana Jumapili alifanikiwa kuibuka shujaa kwa kuokoa penalti tatu za Yanga zilizopigwa na Pacome Zouzoua, Yao…

Read More

KULINDANA NI MUHIMU, HAKI PIA IZINGATIWE

KILA mmoja anatambua kwamba pazia la Ligi Kuu Bara linakwenda kufunguliwa leo ambapo kuna mechi zitakazoanza kuchezwa katika viwanja tofauti. Yanga ambao ni mabingwa watetezi hawa kete yao ya kwanza itakuwa dhidi ya KMC wote ni watoto wa mjini. Simba iliyogotea nafasi ya pili kibarua chake ni dhidi ya Mtibwa Sugar itakuwa ugenini kwenye mchezo…

Read More

SIMBA WAMESHINDA DHIDI YA TIMU ILIYOONYESHA UBORA

USHINDI wa Ngao ya Jamii ambao wameupata Simba dhidi ya Yanga ni bahati ya mtende kutokana na kiwango cha chini kilichoonyeshwa na wachezaji wa Simba. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ulikuwa unasoma Yanga 0-0 Simba na kupelekea mshindi apatikane kwa penalti. Katika Ngao ya Jamii kwenye mchezo wa fainali Agosti…

Read More

SIMBA YATWAA NGAO YA JAMII, SALIM SHUJAA

NGAO ya Jamii ni mali ya Simba baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ndani ya Uwanja wa Mkwakwani. Ilikuwa ni fainali ambayo Yanga walikuwa na nafasi kubwa kwenye upande wa kupata matokeo ndani ya dakika 90 kutokana na mashambulizi waliyokuwa wakiyapeleka kwa Ally Salim. Hilo pia limedhihirishwa na nahodha wa Yanga Bakari…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo Agosti 13 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kimetambulishwa tayari. Huu ni mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ambapo Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itamenyana na Simba. Ni Djigui Diarra langoni  Yao Lomalisa Mutambala Bakari Nondo Bacca Aucho Max, Mudathir Mzize Kennedy Musoda Jesus Moloko

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA FAINALI NGAO YA JAMII

NI fainali ya Ngao ya Jamii, Tanga ikiwa ni mchezo wa Kariakoo ndani ya Tanga kati ya Yanga dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo Roberto Oliveira ametambulisha jeshi lake atakaloanza nalo namna hii:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein Kennedy Juma Che Malone Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin John…

Read More

YANGA V SIMBA, HII GEMU HAINA MWENYEWE

WEKA ngoma ipigwe wanasema tumewafuata waliotangulia ni kueleka mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga  V Simba. Kila timu ina nyota wapya ikiwa ni pamoja na Jonas Mkude, Skudu Makudubela na Maxi Nzengeli kwa Yanga, Luis Miquissoe, Willy Onana kwa Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga waliitungua mabao 2-0 Azam FC kisha Simba wao walipenya kwa…

Read More

AZAM FC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII

AZAM FC chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo ni washindi wa tatu Ngao ya Jamii baada ya kuwashinda Singida Fountain Gate. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umesoma Azam FC 2-0 Singida Fountain Gate. Mabao ya Prince Dube na Sopu yametosha kuimaliza Singida Fountain Gate. Huu ni mchezo wa kwanza kwa Dabo kushuhudia timu hiyo…

Read More