
SIMBA SC VS RS BERKANE MEI 25 2025, MAAJABU KUFANYIKA
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kwa sasa ni zamu ya mpinzani wao RSBerkane kufungwa kwa kuwa kila ambaye aliwafunga walipokutana uwanjani nao walilipa kisasi kwa kuwafunga wapinzani wao. Mei 25 2025, Simba SC itakuwa na kazi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa ni fainali…