
BORUSSIA DORTMUND YAKAMILISHA UHAMISHO WA MSHAMBULIAJI, MAXIMILIAN BEIER
Klabu ya Borussia Dortmund imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji, Maximilian Beier kwa ada ya Euro milioni 30 akitokea TSG Hoffenheim. Beier (21) raia wa Ujerumani amesaini mkataba wa miaka mitano mpaka 2029 na anatua kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo baada ya Niclas Füllkrug kutimkia West Ham United. Beier anatua klabuni hapo kusaidiana…