MASTAA SENEGAL WAITAKA AFCON

SADIO Mane na Edouard Mendy wamesema kuwa Senegal wamepania kutwaa ubingwa wa Afcon 2021 ili kumpunguzia presha kocha wao Aliou Cisse. Senegal ambao walifika fainali katika Afcon iliyopita ya 2019 walikuwa miongoni mwa timu zilizopewa nafasi ya kuweza kufika fainali mwanzoni kabisa mwa mashindano haya. Ilishinda mechi ya kwanza kwa tabu dhidi ya Zimbabwe kisha…

Read More

AUBA:TATIZO NI ARTETA

PIERRE Emerick Aubameyang amethibitisha kwamba Kocha Mkuu, Mikel Arteta ndiyo sababu ya yeye kuondoka ndani ya Arsenal ambao wataendelea kumlipa pauni 230,000 kwa wiki hadi msimu huu. Auba alitangazwa kuwa mchezaji mpya wa Barcelona juzi baada ya kukamilisha usajili wake akiwa huru. Kabla ya kuvunja mkataba wake uliomuweka huru, Arsenal ilikubaliana naye kumlipa pauni milioni…

Read More

MASON MAJANGA MATUPU, UNITED WAMUONDOA

NYOTA wa Manchester United Mason Greenwood amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na shambulio kufuatia madai kwenye mitandao ya kijamii. Polisi wa Greater Manchester walisema ilifahamishwa kuhusu “picha na video za mitandao ya kijamii zilizotumwa na mwanamke akiripoti matukio ya unyansaji wa kingono”. Iliongeza “Tunaweza kuthibitisha kuwa mwanamume mwenye umri wa miaka 20 amekamatwa kwa tuhuma…

Read More

AUBAMEYANG HUYO BARCELONA BURE

ARSENAL imekubali kumuacha nyota wake Pierre Aubameyang ajiunge na Barcelona bure ili aweze kupata changamoto mpya wakati mwingine akisepa ndani ya Ligi Kuu England. Auba mwenye miaka 32 anaondoka ndani ya kikosi hicho ikiwa ni muda mfupi baada ya kuvuliwa kitambaa cha unahodha. Mshambuliaji huyo hakuweza kucheza katika timu hiyo tangu Desemba 6 2021. Anasepa…

Read More

MISRI YATINGA NUSU FAINALI AFCON 2021

LICHA ya kuwa nyuma jana mbele ya Morocco kwa bao lililofungwa dakika ya 6 na Soufiane Boufal Misri iliweza kupindua meza na kuibuka na ushindi. Baada ya dakika 90 kukamilika Misri iliweza kushinda mabao 2-1 na kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe Afcon 2021. Ni Mohamed Salah aliweza kusawazisha dakika ya 56 kisha mchezo…

Read More

MASTAA NIGERIA WATISHIWA MAISHA

WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Nigeria, Maduka Okoye ambaye ni golikipa na kiungo Alex Iwobi inaelezwa kuwa wametishiwa kuuwawa baada ya timu yao ya taifa kuondolewa kwenye mashindano na Tunisia siku ya Jumapili. Kutokana na vitisho hivyo golikipa wa timu ya taifa ya Nigeria, Okoye alifunga sehemu ya wafuasi wake kuweza kuacha ujumbe kwenye…

Read More

NYOTA MAN UNITED AIBUKIA SEVILLA

KLABU ya Sevilla ya Hispania imefikia makubaliano ya kumsajili kwa mkopo winga wa Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa Antony Martial. Nyota huyo amekosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha United na amekuwa akishinikiza kuondoka ndani ya miamba hiyo. Sevilla wamekubali kulipa mshahara wote wa mchezaji huyo hadi mwezi Juni na atasafiri leo…

Read More

NIGERIA YATOLEWA AFCON

TIMU ya taifa ya Tunisia Carthage Eagles imefanikiwa kuwa timu ya pili kukata tiketi ya kuingia katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, (Afcon 2021) baada ya kuibwaga Nigeria-Super Eagles kwa bao 1-0 katika uwanja wa Roumde Adjia mjini Garoua. Tunisia waliandika bao lao la kwanza na la ushindi kupitia kwa mchezaji Youssef Msakni anayechezea klabu ya…

Read More

KLOPP ANAAMINI MARTINELL ATAKUJA KUWA TISHIO

KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp anaamini kwamba nyota wa Arsenal, Gabriel Martinelli atakuja kuwa tishio baadaye ikiwa ataendelea kuwa kwenye mwendo mzuri. Kocha huyo ameweka wazi kwamba atakuja kufanya vizuri pia ikiwa hatapata majeraha kwa kuwa ikiwa hivyo itakuwa shida kwake kuweza kucheza katika ubora ambao ameanza nao. Raia huyo wa Brazil ameanza vema…

Read More

ABOUBAKAR AINGIA LEVO ZA ETO’O

NYOTA wa timu ya taifa ya Cameroon,Vincent Aboubakar kwenye mashindano ya Afcon 2021 nchini Cameroon yeye anakiwasha tu kwa kucheka na nyavu. Mpaka sasa yeye ni namba moja kwa utupiaji ambapo amefunga jumla ya mabao matano kibindoni. Timu ya Cameroon ambao ni wenyeji wa mashindano hayo wamekuwa kwenye mwendo mzuri ambapo tayari wametinga hatua ya…

Read More

LUKAKU AMFANYA TUCHEL AGOMEE MASWALI

KOCHA Mkuu wa Chelsea, Thomas Tuchel juzi alikataa kujibu maswali ambayo yalikuwa yanamhusu staa wa timu hiyo Romelu Lukaku akisema sio tatizo ndani ya timu hiyo. Tuchel ameweka wazi kwamba timu hiyo inapitia wakati mgumu kwa sasa na wachezaji wake wengi wametoka kwenye majeruhi. Chelsea juzi ilishindwa kutamba kwa mara nyingine na kuambulia sare ya…

Read More

GHANA WAONDOLEWA AFCON

TIMU ya Taifa ya Ghana imeondolewa rasmi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 na timu ya taifa ya Comoros katika mchezo wa mwisho wa Kundi C kwa kipigo cha mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa Jumanne Januari 18. Ghana ni washindi wa Kombe la Afcon mara nne wametolewa na timu ambayo ni…

Read More

LEWANDOWSKI,RONALDO WASEPA NA TUZO

MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Poland ambaye anakipiga Bayern Munich, Robert Lewandowski ameshinda tuzo ya FIFA ya Mchezaji Bora wa mwaka 2021. Lewandowski, 33, ametwaa tuzo hiyo ikiwa ni mara ya pili mfululizo ambapo katika kipindi hicho ametupia bao 69 akimshinda Lionel Messi na Mohamed Salah wa Liverpool. Pia mshambuliaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo yeye…

Read More