
MORRISON ‘OUT’ SIMBA
KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison sasa ni rasmi kuwa hawezi kwenda nchini Afrika Kusini kutokana na kufungiwa kuingia ndani ya nchi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo Barbara Gonzalez amethibitisha hilo rasmi kuwa jitihada zilizofanyika za kumuombea kibali cha kuingia nchini Afrka Kusini zimegonga mwamba. Barbara amesema:“Tuliwasiliana na watu…