MANCHESTER UNITED MAJANGA HUKO,KOSA LAO LATAJWA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa walishindwa kutumia vizuri nafasi ambazo walizipata kipindi cha kwanza jambo ambalo liliwafanya wapoteze mchezo wao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Old Trafford ulisoma Manchester United 0-1 Atletico Madrid. Matokeo hayo yanaiondoa mazima United katika UEFA Champions League kwa jumla ya mabao 1-2 ambayo…

Read More

MANCHESTER CITY HAWAAMINI MACHO YAO

VINARA wa Ligi Kuu England, Manchester City hawaamini macho yao baada ya kubanwa mbavu na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu England. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Selhurst Park ulisoma Crystal Palace 0-0 Manchester City na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Sare hiyo inawafanya City kufikisha alama 70 wakiwa nafasi ya kwanza…

Read More

SIMBA KUCHEZA KIBINGWA LEO KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa leo Jumapili dhidi ya RS Berkane, benchi la ufundi la timu hiyo linafanya maandalizi makubwa kuhakikisha si tu kwamba kikosi chao kinaibuka na ushindi dhidi ya Berkane, lakini pia kinatoa burudani ya kibingwa. Simba wanatarajia kuvaana na Berkane leo Jumapili katika mchezo…

Read More

ABRAMOVICH APEWA RUKSA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

ROMAN Abramovich na Serikali ya Uingereza imeripotiwa kwamba wamefikia makubaliano kwa ajili ya suala la mauzo ya timu ya Chelsea. Serikali inaelezwa kuwa inazingatia suala la timu hiyo kuwekwa sokoni ili kuweza kupata matokeo mazuri kwa ajili ya Chelsea. Kampuni ya Raine Group imeelezwa kuwa imepewa ruhusa ya kuendelea na mchakato wa kusaka mshindani ambaye…

Read More

BILIONEA WA UINGEREZA ATAKA KUINUNUA CHELSEA

BILIONEA kutoka nchini Uingereza na shabiki mkubwa wa Chelsea, Nick Candy amethibitisha kuwa na nia ya kutaka kuinunua Klabu ya Chelsea ambayo imewekwa sokoni na mmiliki wake, bilionea kutoka Urusi, Roman Abramovic. Bilionea Candy ameweka mezani ofa ya kiasi cha paundi bilioni 2.5 pamoja na nyongeza ya paundi bilioni 1.5 kwa ajili ya matengenezo ya…

Read More

LAUTARO AVUNJA MWIKO WA LIVERPOOL

LAUTARO Martinez nyota wa kikosi cha Inter Milan alivunja rekodi ya Klabu ya Liverpool kutopoteza mchezo wa ushindani katika mechi zake za Uwanja wa Anfield baada ya kuwatungua bao dakika ya 61. Ni katika mchezo wa UEFA Champions League uliochezwa Uwanja wa Anfield ambao ulikuwa ni wa raundi ya 16 ukiwa ni mchezo wa pili….

Read More

KLOPP KUSEPA LIVERPOOL

JURGEN Klopp,Kocha Mkuu wa Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England amethibitisha kwamba ataondoka ndani ya timu hiyo mkataba wake utakapomeguka 2024. Ameongeza kuwa anaweza kuamua kubaki hapo ikiwa tu ataona ana nguvu ya kuweza kuiongoza timu hiyo. Liverpool chini ya Klopp iliweza kuvunja mwiko wa kupitisha miaka 30 kusubiri taji la Ligi Kuu England akiwa amekaa…

Read More