MORRISON ‘OUT’ SIMBA

KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison sasa ni rasmi kuwa hawezi kwenda nchini Afrika Kusini kutokana na kufungiwa kuingia ndani ya nchi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo Barbara Gonzalez amethibitisha hilo rasmi kuwa jitihada zilizofanyika za kumuombea kibali cha kuingia nchini Afrka Kusini zimegonga mwamba. Barbara amesema:“Tuliwasiliana na watu…

Read More

CITY NI NAMBA MOJA KIMATAIFA, WANAKIMBIZA

NDANI ya Ligi Kuu England Manchester City ni baba lao kwa kukusanya pointi nyingi tangu msimu wa 2018/19 mpaka msimu huu wa 2021/22. Ni pointi 338 wamekusanya huku wanaowafuata wakiwa ni Liverpool ambao wana jumla ya pointi 337 na Chelsea ni namba tatu wakiwa na pointi 264 Manchester United ni namba nne wana pointi 257….

Read More

SALAH AFUNGUKIA ISHU YA MKATABA WAKE

MOHAMED Salah, mshambuliaji wa Liverpool ameweka wazi kuwa ishu ya mkataba wake kwa sasa ndani ya kikosi hicho hawezi kusema ndiyo ama hapana. Salah mkataba wake ndani ya Liverpool unatarajiwa kumalizika Juni 2023.Mpaka sasa haijaweza kuwekwa wazi kuhusu makualiano yake na timu hiyo. Salah alipoulizwa kuhusu mkataba wake amesema:”Niwe mkweli,kuna vitu vingi watu hawavijui sitaki…

Read More

KUMALIZA TOP 4 KWA TOTTENHAM KUNAMTEGEMEA KANE

PAUL Merson kiungo wa zamani wa Arsenal amesema kuwa wapinzani wake wa zamani Tottenham Hotspur wana nafasi ya kumaliza ndani ya Top 4 kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Nyota huyo ameweka wazi kuwa ikiwa mshambuliaji wa timu hiyo Harry Kane akiumia mambo yatakuwa ni magumu zaidi kwao. Ikumbukwe kwamba hata Arsenal inawania nafasi ya…

Read More

ISHU YA KUONGEZWA DAKIKA 100 KWENYE MECHI IPO HIVI

BAADA ya hivi karibuni taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya Fifa kuangalia uwezekano wa kuongeza dakika za mchezo wa mpira wa miguu kutoka 90 hadi 100 kabla ya mashindano ya Fainali za Kombe la Dunia la nchini Qatar, FIFA imeibuka na kukanusha taarifa hizo. Taarifa kutoka fifa imesema:“Kufuatia taarifa za uzushi zilizosambaa leo,…

Read More

MUGALU,BERNARD MORRISON KIMATAIFA NI HABARI NYINGINE

NYOTA wawili wa Simba, Bernard Morrison na Chris Mugalu kwenye mashindano ya kimataifa ni habari nyingine kwa kuwa wameweza kufanya maajabu kwenye mechi ngumu kwa kushirikiana na wachezaji wengine.  Morrison kwenye mashindano ya kimataifa kuanzia hatua ya mtoano ametumia dk 290 katupia mabao matatu na pasi mbili za mabao. Chris Mugalu yeye amecheza mechi tatu…

Read More

MANCHESTER CITY YAIBAMIZA ATLETICO MADRID

WAKIWA Uwanja wa City of Manchester waliweza kupata ushindi wa bao 1-0 Atletico Madrid ikiwa ni mchezo wa UEFA Champions League. Huu ni mchezo wa kwanza robo fainali na mtupiaji alikuwa ni Kevin De Bruyne ilikuwa dk ya 70. City iliweza kuwa imara kila idara mwanzo mwisho katika mchezo huo licha ya Atletico Madrid kupaki…

Read More

MOLOKO,NGUSHI WAREJEA KUIVAA AZAM FC

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kuna wachezaji ambao wamerudi kwenye kikosi baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na kutibu majeraha. Kesho Yanga inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC ambao nao pia waazihitaji pointi hizo. Kaze amesema:”Wapo baadhi ya wachezaji walikuwa nje kutokana na majeruhi lakini kwa sasa wameanza mazoezi…

Read More

SIMBA YATAJA MECHI NGUMU KIMATAIFA

MOHAMED Hussein Zimbwe Jr, beki wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba amesema kuwa mechi ambayo kwenye hatua ya makundi kwao anaamini ilikuwa na ushindani mkubwa ni ile dhidi ya ASEC Mimosas. Kwa sasa Simba imeweza kutinga hatua ya robo fainali na inasubiri kujua itamenyana na timu ipi baada ya droo kupangwa ya Kombe…

Read More

KIUNGO MGHANA ACHAGUA KUCHEZA NA FEISAL NA SURE

KIUNGO wa kimataifa wa zamani wa Simba raia wa Ghana, James Kotei, ameweka wazi kuwa kama ataambiwa achague viungo wa kucheza nao kutoka Yanga, basi atawataja Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ na sio pacha ya Khalid Aucho na Yannick Bangala. Sure Boy aliyejiunga na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili msimu…

Read More

MANCHESTER UNITED WAAMBIWA NGUMU KUWA TOP 4

GARY Neville, mchambuzi wa masuala ya michezo anaamini kwamba mbio za timu yake hiyo ya zamani kutinga top 4 ni ngumu baada ya kutoshana nguvu na Leicester City,Uwanja wa Old Trafford. Bao la Kelechi Iheanacho dk 63 kwa Leicester City kisha United waliweka usawa kupitia kwa Fred dk ya  66. Kwenye msimamo United ipo nafasi…

Read More

KIMATAIFA SIMBA YAPIGA MASHUTI 20

NYOTA wa Simba wanaonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi mbele ya USGN rekodi zinaonyesha kwamba walipiga mashuti 20 langoni kwa wapinzani wao. Haikuwa kazi rahisi kwa Simba kuweza kufanikisha lengo lao kwa kuwa kipindi cha kwanza safu ya ushambuliaji ilikosa umakini ndani ya dakika 45 licha…

Read More

TOTTENHAM YASHINDA 5G,YATINGA 4 BORA

TOTTENHAM Hotspur imeishushia kichapo cha mabao 5-1 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu England. Mchezo huo umechezwa usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Tottenham Hotspur mbele ya mashabiki 57,553. Mabao ya Ben Davies dk 43,Matt Doherty dk 48,Heung-min Son dk 54,Emerson Leite de Souza Junior dk 63,Steven Bergwijn dk 83 ambaye alianzia benchi…

Read More