BALOTEL AINGIA ANGA ZA MPAPPE

2022 ulikuwa mwaka mzuri kwa ulimwengu wa soka. Ni mwaka uliojaa aina ya mabao ya ajabu na ni wakati wa kuangalia malengo haya na kuchagua bora zaidi ya kura. Wateule wa Tuzo za Puskas 2022 wametangazwa na inaangazia baadhi ya wale ambao walifanya vizuri kwenye utupiaji wa mabao. Tuzo ya Puskas ni sehemu ya mfululizo…

Read More

HAALAND MOTO CHINI, KAZI NYINGINE LEO USIKU

JANUARI bado inaendelea na maneno kuhusu huyu mwamba ndani ya Manchester City ni balaa. Kwa kutupia dani ya Premier League ni mkali wa kutupia kwenye ligi zote duniani zenye ushindani mkubwa. Mabao yake 25 yamewaacha mabeki wa Premier League wakiwa na hofu akivunjavunja rekodi za wababe wengi ndani ya ligi hiyo pendwa. Amevuka idadi ya…

Read More

ARSENAL NI MOTO KWELIKWELI

KASI ya Arsenal kwenye Ligi Kuu England ni moto baada ya kupindua meza kwenye mchezo dhidi ya Manchester United wakiwa nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Emirates umesoma Arsenal 3-2 Manchester United ambao walipigiwa mpira mkubwa wakiwa ugenini. Ni Marcus Rashford alianza kufunga dakika ya 17 na lile la pili kwa United lilifungwa na Lisandro Martinez…

Read More

JEMBE JIPYA ARSENAL KUANZA KAZI LEO

JEMBE jipya ndani ya kikosi cha Arsenal, Leandro Trossard huenda akaanza leo kuonyesha makeke mchezo dhidi ya Manchester United. Ni miaka minne amesaini ndani ya timu hiyo akitokea Brighton ambayo nayo inashiki Ligi Kuu Engand. Nyota huyo amesema kuwa ni furaha kujiunga na timu hiyi hivyo atapambana kutimiza majukumu yake kwa umakini akishirikiana na wengine….

Read More

DAKIKA 180 MBRAZIL ASHUHUDIA MABAO MAWILI YA MZAWA

KIKOSI cha Simba kikiwa nchini Dubai kilicheza mchezo wake wa pili wa kirafiki   na kuambulia sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai. Ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera Simba iliyeyusha dakika 45 ikiwa imefungwa mabao mawili na wapinzani wao katika mchezo huo. Kipindi cha pili Simba walionyesha uimara kwenye upande…

Read More

SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI

SIMBA imepata sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai kwenye mchezo wa kirafiki. Dakika 45 za mwanzo Simba ilikuwa imefungwa mabao hayo mawili. Kipindi cha pili walifanya kazi kubwa kusaka ushindi lakini wakagotea kwenye sare hiyo. Mabao yote ya Simba yamefungwa na mzawa Habib Kyombo.

Read More

LIVERPOOL YANYOOSHWA NA BRIGTON, TRENT HANA FURAHA

NGOMA imepigwa kinomanoma mpaka wenyewe wakaona isiwe tabu wakaacha pointi tatu mazima Uwanja wa Falmer. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu England uliowakutanisha miamba Brighton dhidi ya wababe Liverpool. Dakika 90 zimekamilika Brighton 3-0 Liverpool yenye Mohamed Salah akiwa ndani ya kikosi. No Solly Marchi alitupia kambani mbili dakika ya 46 na 53 na moja…

Read More

SIMBA YAPOTEZA DUBAI

 KIKOSI cha Simba leo Januari 13,2023 kimeambulia kichapo cha bao 1-0. Ni katika mchezo wa kirafiki ambapo wamepoteza dhidi ya Klabu ya Al Dhafra FC baada ya dakika 90. Kikosi cha Kwanza Cha Kocha Mkuu Robert Oliviera langoni alianza Aishi Manula Kwa upande wa ulinzi ni Shomari Kapombe,Joash Onyango, Kennedy Juma. Viungo ilikuwa ni Jonas…

Read More

CHAMA NDANI YA SIMBA DUBAI

CLATOUS Chama mwamba wa Lusaka amejiunga na kikosi cha Simba kambini Dubai leo Januari 11,2023. Kiungo huyo hakuwa na timu hiyo kwenye msafara wa awali kutoka Dar kwenda Dubai kwa kuwa alikuwa nyumbani kwao Zambia. Timu hiyo ipo chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera raia wa Brazil ambaye anashirikiana na Juma Mgunda ambaye ni mzawa….

Read More

MCAMEROON ABOUBAKAR KUVUNJIWA MKATANA KISA CR 7

KLABU ya Al Nassr ya Saudi Arabia imeripotiwa kusitisha mkataba wa mshambuliaji wake raia wa Cameroon Vincent Aboubakar ili kumsajili Cristiano Ronaldo, kulingana na Daily Mail. Mshambuliaji huyo ataondoka katika klabu hiyo kutokana na sheria ya Ligi ya Saudia inayosema kuwa klabu inaweza kusajili hadi wachezaji 8 wa kigeni.  Ili kumjumuisha Ronaldo kwenye kikosi, klabu…

Read More

LIVERPOOL WAPATA SARE KWA MSAADA WA VAR

KIKOSI cha Liverpool licha ya kupata sare bao kina kazi kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la FA dhidi ya Wolves. Kwenye mchezo wao uliochezwa Uwanja wa Anfield ilibaki kidogo watunguliwe lakini VAR iliwaokoa kwa kuligomea bao la Toti alilofunga dakika za mwisho katika sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Anfield. Toti aliifunga dakika ya…

Read More

MEZA YAPINDULIWA KIBABE KWA CHELSEA UGENINI

NYOTA Serge Aurier bao lake la kwanza akiwa na Nottingham Forest dakika ya 63 liliuzima mkwaju wa Raheem Sterling  dakika ya 16 na kuwafanya wasumbufu hao wa Premier League kupata sare ya kufungana  1-1 waliyostahili dhidi ya Chelsea.  Mchezo huo ulichezwa  kwenye Uwanja wa City Ground.  Forest waliingia uwanjani wakijua ushindi ungewaondoa kwenye eneo la kushushwa daraja lakini…

Read More