
SIMBA KAMBI YA KISHUA DUBAI,AKPAN NA OKWA WAACHWA
KIKOSI cha Simba, jana Jumamosi kiliondoka nchini kishua kwenda Dubai kwa ajili ya kambi ya wiki moja kujiandaa na mashindano ya Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la Azam Sports, huku wakichimba mkwara mzito kuwa watarudi wakiwa na moto wa hatari. Safari hiyo ni mwaliko rasmi wa Rais wa Heshima…