
VIDEO:HUYU HAPA MR SHOWSHOW, TWAHA KIDUKU KUHUSU KAZI
TWAHA Kiduku mzee wa showshow anabainisha wazi kuhusu mipango yake kwenye upande wa mapigano
TWAHA Kiduku mzee wa showshow anabainisha wazi kuhusu mipango yake kwenye upande wa mapigano
Shangwe shangwe shangwe tu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar es salaam baada ya bodaboda kufikiwa na Meridianbet na kupatiwa reflectors ambazo zitawasaidia wanapoendesha pikipiki nyakati zote lakini pia kwa kushirikiana na Polisi wa usalama barabarani wameweza kufanikisha zoezi hilo. Zoezi hilo limekuja kwa kusindikizwa na kampeni ya kuvutia kabisa inayoitwa “Mtaa kwa mtaa” inayolenga…
NI yake Chris Jabari, Njombe Finest ikiwa ni mpya kabisa inaitwa Sina Mashaka leo ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani na hii ni kazi ya kwanza kwa 2023 nyingine zinakuja kwake Sina Mashaka
Sub-Heading: Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Furahia sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Ikiwa unafurahia michezo inayoelezea mambo ya kale, Meridianbet kasino ya mtandaoni wana zawadi…
Promosheni Kabambe ya Endorphina Kuutafuta utajiri ni rahisi sana kama ukiichagua kasino ya mtandaoni ya Meridianbet kwa sababu kila siku wanakuja na promosheni za kibabe kwaajili yako. Ukiweka kando michezo ya kubashiri soka, kuna bonasi na machaguo kibao. Hivyo saka utajiri kwa kucheza kasino ya mtandaoni kila siku na ujiweke kwenye nafasi ya kushinda mgao…
Duka la kubetia la nne kwa mwezi huu Machi limezinduliwa hii leo na Meridianbet wababe wa masuala ya ubashiri Tanzania wakiwa na kile ambacho mteja unakihitaji kwa muda wowte ule. Lakini pia unaweza kuchagua machaguo si chini ya elfu moja hapa hapa Meridianbet. Wakati ligi mbalimbali duniani zikiwa zimesimama kwaajili ya kupisha michauno mbalimbali kama…
Kuna michezo mingi sana ya Kasino lakini sloti hii ya Book of Eskimo ni Zaidi ya mchezo ni uhalisia wa Maisha, Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuletea sloti hii ya kijanja inayokupa uhalisia wa mazingira halisi mchezoni ambapo ushindi unapatikana kwa namna ambavyo wewe unaweza kuvumilia baridi kwenye mazingira ya namna hiyo. Kasino ya mtandaoni…
Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani, ambapo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Matina Nkurlu pamoja na Msaidizi wa kitengo cha usalama barabarani Kawe Inspekta Alex Duguza alitoa elimu….
KWA mara ya pili Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amekutana na winga Real Bamako ya nchini Mali, Cheickna Diakite na kufanya naye kikao cha siri. Jana baada ya mchezo huo, kigogo wa Yanga alimwambia mwandishi wa gazeti hili kuwa, Diakite ni mchezaji mzuri ambaye amekuwa akimfuatilia tangu zamani kwa lengo la kumsajili kikosini…
Haijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unambiwa sloti hii inatoa hela balaa unaanzaje kuikosa hii. Kwa dau la kuanzia Tsh 200 unaweza kuizalisha na kuwa mamilioni ya hela kupitia mizunguko 500 ya bure inayotolewa kila siku baada ya…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa hakufurahishwa tabia ya ubinafsi iliyokuwa ikifanywa na mshambuliaji wa timu hiyo, Fiston Mayele licha ya kumuweka chini ya kumueleza juu ya jambo hilo. Nabi ametoa kauli hiyo kufuatia mshambuliaji huyo kulazimisha kufunga mwenyewe katika nafasi alizokuwa anapata licha ya kutokuwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga katika…
Haijawahi kuwa ya kuvutia kiasi hiki, zawadi za jumla ya TZS 350,000,000 kushindaniwa kwenye michezo ya sloti inayotolewa na Wazdan katika chimbo lako pendwa la kasino Meridianbet Tanzania, unashiriki ukiwa na nafasi ya kujishindia mgao wako katika zawadi nono zinazotolewa, Kupaswi kukosa hii ni kubwa sana inaweza kubadili kila kitu leo. Zawadi nono ya TZS…
KATIKA ‘Brain Food’ leo tunakupa historia ya mwanamuziki Vannesa Mdee kutoka Tanzania ambaye kwa sasa ameamua kuacha muziki.
Tarehe 13 siku ya Redio duniani kampuni ya michezo ya ubashiri Tanzania Meridianbet imetoa vifaa vya kutendea kazi kwa kituo cha Habari cha Radio 1, Hii ni katika kuendeleza taratibu wa kurejesha kwa jamii ambapo ni utaratibu kampuni hiyo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet. Katika zoezi hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Radio One na ITV,…
Shirikisho la soka nchini Kenya limewasimamisha kazi wachezaji 14 na makocha wawili kwa tuhuma za upangaji matokeo baada ya kupokea taarifa kuhusu udanganyifu katika ligi ya taifa. Miongoni mwa waliosimamishwa Ijumaa ni wachezaji sita kutoka Zoo Kericho FC, ambayo ilipatikana na hatia ya kupanga matokeo na kitengo cha uadilifu cha FIFA mnamo 2021 na kufukuzwa…
KIKOSI cha Simba, jana Jumamosi kiliondoka nchini kishua kwenda Dubai kwa ajili ya kambi ya wiki moja kujiandaa na mashindano ya Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la Azam Sports, huku wakichimba mkwara mzito kuwa watarudi wakiwa na moto wa hatari. Safari hiyo ni mwaliko rasmi wa Rais wa Heshima…
Ofa za Meridianbet zinaendelea kutaradadi katika kila kona, ofa baada ya ofa, promosheni baada ya promosheni katika mwezi wenye mambo mengi. Nafasi yako ya kujishindia mgao wako wa bonasi ya TZS 3,000,000 kutoka hapa nyumba ya Odds bomba. Jisajili, weka pesa katika akaunti yako na cheza sasa uwe mmoja ya washindi wa mgao wa bonasi…