MERIDIANBET FOUNDATION YAONGEZA MCHANGO WAKE KWA ELIMU

Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii ya Meridianbet, sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imezindua kampeni ya kimataifa ya uchangiaji vitabu, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kusaidia maktaba ndogo na vituo vya jamii. Kampeni hii inalenga kutoa vitabu vya elimu, kuhamasisha usomaji, na kusaidia kuendeleza utamaduni katika maeneo mbalimbali duniani. Wafanyakazi wa Meridianbet…

Read More

MKURUGENZI MKUU MERIDIANBET AELEZA MAFANIKIO YA MERIDIANBET

Katika mkutano mkubwa uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2024 jijini Orlando mkurugenzi wa Meridianbet bwana Zoran Milosevic kupitia makampuni ya GMGI alionesha namna ambavyo kampuni hiyo imeweza kua na mafanikio makubwa kwa mwaka 2024 na kujiweka kwenye mazingira mazuri Zaidi ya kupandisha thamani kwa mwaka 2025. https://x.com/meridianbet_ofc/status/1882035687014191504 Tukio hilo la hali ya juu, linalojulikana pia kama…

Read More

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024, YAPO HAPA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Said Mohamed ametangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2024 na kueleza kuwa ufaulu umepanda. Dkt. Said ameeleza zaidi kuwa ufaulu umepanda kwa 3% hadi kufikia 92.3% kwa jumla ambapo watahiniwa 477, 262 wamefaulu kidato cha nne kati ya wahitimu 516, 695. MATOKEO YA…

Read More