PACHA YA BANGALA,JOB NA DJUMA YAJIBU YANGA
PACHA ya nyota watatu ambao ni mabeki ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imejibu baada ya kuweza kucheza kwenye mechi tatu ambazo ni sawa na dakika 270 bila kuokota mpira nyavuni. Ndani ya Ligi Kuu Bara, Yanga imecheza mechi tatu ambapo ile ya kwanza ilikuwa mbele ya Kagera Sugar, Uwanja…