Saleh

TUWEKEZE NGUVU KUBWA SOKA LA WANAWAKE

PONGEZI kubwa kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17, Serengeti Girls kwa kuweza kutanguliza mguu mmoja hatua ya kufuzu Kombe la Dunia. Ushindi walioupata nchini Cameroon una maana kubwa hivyo ni zamu yao kuweza kuendeleza ule mwendo ambao wameanza nao bila kuchoka. Tuna amini kwamba mchezo wa marudio utatoa picha…

Read More

MO ATOA KAULI NYINGINE SIMBA YA MAAMUZI

RAIS wa Heshima ndani ya Klabu ya Simba, Mohamed Dewji, Mo ametoa kauli nyingine ya matumaini akiweka wazi kwamba lazima wafanyie kazi maboresho ya maeneo ambayo yanamadhaifu. Simba imepoteza malengo ya kutwaa ubingwa baada ya kuzidiwa pointi 13 na watani zao wa jadi Yanga huku ikiwa imetoka kupoteza taji la Kombe la Shirikisho baada ya…

Read More

YANGA YAMPONZA PABLO SIMBA

 PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kufutwa kazi kutokana na mwendo wa kusuasua wa timu hiyo. Habari zinaeleza kuwa kauli ya Rais wa Heshima wa Simba, Mohamed Dewji kwamba Simba wanapaswa kuchukua maamuzi magumu ni pamoja na kusafisha benchi la ufundi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba kufungwa bao 1-0 dhidi…

Read More

KLOPP ANAAMINI WATAREJEA WAKIWA BORA MSIMU UJAO

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa timu hiyo itarejea kwa kishindo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao na kuweza kutwaa taji hilo. Liverpool ilikuwa inapewa nafasi kubwa ya kutwaa taji hilo ila ilipoteza kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Real Madrid kwa kufungwa bao 1-0 jijini Paris. Licha ya kufungwa kwenye fainali…

Read More

BAO LA FEI KWA SIMBA THAMANI YA BILIONI

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesesema kuwa bao alilofuga Feisal Salum mbele ya Simba ni la viwango vikubwa na thamani yake ni bilioni. Feisal alifunga bao hilo kwenye mchezo wa nusu fainali dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba na kuwaondoa Simba kwenye hatua ya nusu fainali. Manara amesema halikuwa bao jepesi kwa…

Read More

MINZIRO ANATAKA KUMALIZA TANO BORA

FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Geita Gold amesema kuwa wanahitaji kumaliza ligi ndani ya tano bora hivyo wataendelea kupambana kufanikisha malengo yao. Mchezo uliopita ubao wa Uwanja wa Sokoine, ulisoma Tanzania Prisons 1-1 Geita kwa mabao ya Jeremia Juma dk ya 38 na Danny Lyanga dk ya 50. Minziro amesema kuwa kila wanapomaliza mchezo ni…

Read More

YANGA YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA

 HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amewapiga dongo kiaina wapinzani wao Simba kwa kubainisha kwamba mashabiki wa timu iliyoshinda wanapaswa kuamka mapema wengine saa 7 mchana. Yanga Mei 28 iliweza kuwatungua watani zao wa jadi Simba kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho, Uwanja wa CCM Kirumba. Bao pekee la ushindi…

Read More

AZAM FC YAWAITA MASHABIKI ARUSHA

 ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa mashabiki wa Azam FC wana kazi moja tu kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuweza kushuhudia burudani. Azam FC leo Mei 29 itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Coastal Union kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la…

Read More

COASTAL UNION:AZAM FC WANA GARI ZURI,TIMU ZURI

WAKATI leo Mei 29 Coastal Union ikitarajiwa kutupa kete yake mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali, Kombe la Shirikisho, Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema kuwa Azam FC wana timu nzuri. Mgunda ambaye ni Kocha Mkuu wa Coastal Union ameweka wazi kwamba anawaheshimu wapinzani wake na anaamini wataleta ushindani mkubwa lakini…

Read More

REAL MADRID MABINGWA LIGI YA MABINGWA ULAYA

REAL Madrid wametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuitungua bao 1-0 Liverpool kwenye mchezo wa hatua ya fainali iliyochezwa Uwanja wa de France. Licha ya Liverpool kuwa na matumaini ya kuweza kulipa kisasi cha mwaka 2018 walipokutana kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kuweza kushinda bado wakati huu wameshindwa…

Read More

YANGA YATINGA FAINALI KWA KUITUNGUA SIMBA

KIKOSI cha Simba kimepoteza mchezo wa hatua ya nusu fainali mbele ya Yanga kwa kufungwa bao 1-0 uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Pablo Franco ameongoza kikosi chake ndani ya dakika 90 na kushuhudia wakishindwa kupata ushindi. Bao pekee la ushind kwa Yanga limefungwa na Feisal Salum ilikuwa dk ya 25 kwa shuti kali akiwa nje…

Read More