Saleh

MKATABA WA SIMBA NA M-BET BILIONI 26

MTEDAJI Mkuu wa Simba,Barbara Gonzale amesema kuwa leo ni kubwa kwa Simba na kampuni ya kubashiri ya M-Bet ambao ni wadhamini wao wakuu walioweka mkwanja mrefu kwa muda wa miaka mitano. Ni mkataba wenye thamani ya bilioni 26 kwa miaka mitano ikiwa ni mkwanja mrefu watakaopokea Simba kwa mafungumafungu. Barbara amesema:”Leo ni siku kubwa kwa…

Read More

MENEJA MPYA YANGA ATOA SHUKRANI ZAKE KMC

WALTER Harson aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa KMC ameweza kuwashukuru maosi wake hao na sasa anakwenda kuanza changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga. Ujumbe wake ambao amewaandikia mashabiki wake pamoja na KMC unasomeka namna hii:”Imekuwa miaka minne yenye kujifunza na kukua katika tasnia. Nafasi niliyoipata ya kuhudumu kama Mtendaji Mkuu wa Klabu kwa kipindi chote…

Read More

TAIFA STARS WANASTAHILI PONGEZI KIDOGO

USHINDI unaleta furaha,ushindi unaleta kicheko ushindi unarejesha lile tabasamu ambalo lilikuwa limejificha kwenye sura ya yule aliyekuwa na makasiriko. Unadhani ushindi unaleta hayo tu,hapana kuna mengi ambayo yanaletwa na ushindi ikiwa ni pamoja na furaha na kuhisi kwamba kila kitu unachogusa kinakutii na kile ambacho hauna mamlaka nacho kinakusikiliza kwa umakini. Ushindi upi ambao unaweza…

Read More

YANGA YATAMBA KUKOMBA KILA KITU

NDANI ya Yanga kwa sasa ni raha na vicheko tu kutokana na fedha ambazo zinaendelea kuingia kwenye timu hiyo kupitia wadhamini ambapo mabosi wa timu hiyo mapema tu wametamba wanataka kubeba mataji yote kama msimu uliopita. Mabosi hao wameongeza kuwa wanataka kubeba mataji yao yote waliyotwaa msimu uliopita ya Ngao ya Jamii, Ligi Kuu na…

Read More

SIMBA WAJA NA HATUZUILIKI,HESABU ZAO NI MATAJI

MTENDAJI Mkuu wa Simba Barbara Gonzalez amesema kuwa msimu huu klabu hiyo imejipanga kurudisha makombe yote ya ndani na kuhakikisha inafika nusu fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika. Barbara ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa Simba Week ulifanyika Mbagala Zakheim Dar es salaam ambapo pia ameongeza kuwa usajili bado unaendelea na kuanzia wiki ijayo wataendelea kushusha…

Read More

TIMU SABA KUSHIRIKI BONANZA MAALUMU LA TECHNO AUDITORS

JUMLA ya timu saba za Maveterans zitashiriki katika bonanza maalum la mpira wa miguu litakalofanyika leo Jumapili (Julai 31, 2022) kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama. Bonanza hilo limeandaliwa na taasisi ya ukaguzi wa mahesabu, ushauri wa kifedha, biashara na masuala ya kodi  ya Techno Auditors kwa kushirikiana na timu ya Kijitonyama Veterans. Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More

MKATABA WA MAYELE YANGA UPO NAMNA HII

HATIMAYE mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele amevunja ukimya juu ya mkataba wake na Yanga, ambapo ameweka wazi kuwa yeye si mchezaji wa mkopo bali alisaini mkataba wa miaka miwili na bado amebakiza mwaka mmoja. Mayele alijiunga na Yanga Agosti 1, 2021 kwa mkataba wa miaka miwili akitokea katika Klabu ya AS Vita ya kwao DR…

Read More

LIVERPOOL YASHINDA TAJI BAADA YA MIAKA 16

 LIVERPOOL imetwaa taji la Ngao ya Jamii baada ya kuyeyuka kwa miaka 16 bila kutwaa taji hilo. Mara ya mwisho kuweza kutwaa taji hilo ilikuwa ni mwaka 2006 baada ya kushinda mabao 2-1 dhidi ya Chelsea. Usiku wa kuamkia leo Julai 31 imeweza kushinda kwa mabao 3-1 dhidi ya Manchester City. Mshambuliaji mpya wa Liverpool,…

Read More

NBC DODOMA MARATHON MGENI RASMI WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa alikuwa mgeni rasmi katika toleo la tatu la NBC Dodoma Marathon. Ilikuwa ni Marathon iliyokuwa na ushindani mkubwa na ilivutia zaidi ya washiriki 4,000 kutoka nchi 8 tofautitofauti ambayo walishiriki.  Lengo kuu ni kutafuta fedha za kusaidia mapambano dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi…

Read More

SIMBA DAY YAZINDULIWA LEO MBAGALA

ZIMEBAKI siku nane kuweza kufika Agosti 8/2022 ambayo itakuwa ni siku ya Simba Day leo Uongozi wa timu hiyo umeweza kuzindua rasmi Wiki ya Simba katika Viwanja vya Mbagala Zakhiem,Dar. Miongoni wa waliokuwepo kwenye uzinduzi huo ambao umehudhiuriwa na mashabiki wengi wa Simba ni pamoja na Mtendaji Mkuu wa Simba,Barbara Gonzalez. Kwa mujibu wa Meneja…

Read More

FAMILIA YAMUONDOA BOSI YANGA

SENZO Mbatha aliyekuwa Kaimu Mtendaji wa Yanga hataongeza mkataba mwingine wa kuendelea kuitumikia timu hiyo. Mkataba wake unaisha leo Julai 31 na kwa mujibu wa Yanga ni kwamba Senzo hayupo tayari kuweza kuongeza mkataba mwingine kuendelea kuitumikia timu hiyo. Saabu ya yeye kuondoka Yanga ni masuala ya kifamilia hasa kuwa mbali nayo kwa muda akiwa…

Read More

SHINDA KIBINGWA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET, CHEZA SLOTI YA DEUCES WILD POKER!

Una ufundi kiasi gani linapokuja suala la sloti za kasino ya mtandaoni? Huu ni uzoefu ambao unaweza kufurahia pale ukijaribu. Ukiwa una uhakika wa burudani na ushindi mkubwa. Nakumegea kipande cha sloti ya mtandaoni ya Deuces Wild Poker! Kuhusu Sloti ya Deuces Wild Poker – Ni Mtandaoni tu! Naam, usisubiri kuhadithiwa, linapokuja suala la ushindi….

Read More

TAIF STARS YAFANYA KWELI UWANJA WA MKAPA

 TIMU ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Somalia ikiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu CHAN. Mabao ya Tanzania yamefungwa na Abdul Suleiman dk 33 na Dickson Job dk ya 67. Mchezo wa leo umechezwa Uwanja wa Mkapa ambapo Stars ilianza kufunga kipindi cha kwanza kupitia kwa Sopu…

Read More

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane raia wa Afrika Kusini ameitikia ombi la Klabu ya Yanga na kuthibitisha kuwa atahudhuria katika wiki ya Mwananchi itakayofanyika Agosti 6, 2022 jijini Dar es Salam. Ikumbukwe kuwa, Juni 26, 2022, Pitso aliipongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC na kufanyiwa gwaride…

Read More