
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V COASTAL UNION
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba anarejea nyumbani Coastal Union lakini leo hatakuwa kocha wa Coastal Union bali atakuwa kwenye benchi la Simba. Simba inasaka pointi tatu ambazo Coastal Union nao wanazihitaji pia na hiki hapa kikosi kitakachoanza kwa upande wa Simba kuikabili Coastal Union namna hii:- Aishi Manula Mohamed Hussein Joash Onyango Shomari Kapombe…