Saleh

KIUNGO WA KAZI SIMBA AREJEA NA KUANZA MATIZI

NELSON Okwa kiungo wa Simba amerejea kwenye kikosi na kuanza mazoezi na wachezaji wenzake wa timu hiyo. Okwa ni ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba hajawa kwenye mwendo mzuri kwa kwa hakuwa fiti.  Okwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la nyonga kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda. Hakuwa kwenye mchezo uiopita wa…

Read More

HUYU HAPA MBUTUA FUKO LA MILIONI 20

BAO la kiungo wa Yanga, Feisal Salum dakika ya 89 limebutua fuko la shilingi milioni 20 ambazo waliahidiwa wachezaji wa Prisons kubeba ikiwa watashinda mchezo huo na kama wangeambulia sare milioni 10. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Masoko wa Kampuni ya Silent Ocean, Mohamed Kamilagwa ikumbukwe kwamba hao ni wadhamini wakuu wa Tanzania Prisons. Desemba…

Read More

MPOLE APEWA MKONO WA KWAHERI GEITA, MKATABA WAALIZIKA

Uongozi wa klabu ya Geita Gold umethibitisha kuwa mkataba wake na kinara wa magoli Ligi kuu ya NBC msimu wa 2021/22, George Mpole umemalizika na kwamba makubaliano ya pande zote mbili yamefikiwa kuwa Mpole yupo huru kujiunga na klabu nyingine kuanzia leo Disemba 7 2022. Geita Gold inamshukuru Mpole kwa kazi, ushirikiano na utendaji mzuri…

Read More

HIZI HAPA REKODI ZA NAMUNGO V YANGA

LEO Uwanja wa Majaliwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Namungo v Yanga unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Timu hizo zimekutana mara sita ambapo ni mchezo mmoja Yanga ilisepa na ushindi Uwanja wa Mkapa na mechi tano waligawana pointi mojamoja. Hizi hapa rekodi zao walipokutana kwenye msako wa pointi tatu namna hii:- Rekodi za…

Read More

KOCHA HISPANIA AKUBALI UWEZO WA BONO

 KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Hispania Luis Enrique ameweka wazi kuwa ubora wa kipa wa Timu ya Taifa ya Morocco ulikuwa mkubwa jambo ambalo lilimfanya afikirie kumbadilisha. Hispania walikuwa wanapewa nafasi kubwa ya kupata ushindi lakini mambo yakawa tofauti walikwama kupata ushindi baada ya Morocco kushinda kwa penalti 3-0 Hispania ambao walikosa penalti…

Read More

URENO YATEMBEZA DOZI IKITINGA ROBO FAINALI

TIMU ya Taifa ya Ureno imetembeza dozi kwa wapinzani wao kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Dunia Qatar. Bila ya uwepo wa Cristiano Ronaldo ambaye alianzia benchi na mbadala wake Goncalo Ramos kwenye mchezo wa kuwania kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Dunia mpira ulitembea. Ushindi wa mabao 6-1 walioupata dhidi…

Read More

KIUNGO MGUMU SIMBA KUIBUKIA GEITA GOLD

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa atamtumia kiungo wake mgumu kwenye mechi za ligi kwa kuwa adhabu yake itakuwa imegota mwisho. Kanoute alionyeshwa kadi mbili za njano mbele ya Coastal Union, Desemba 3,2022 ubao uliposoma Coastal Union 0-3 Simba ile ya kwanza alionyeshwa dakika ya 40 na ya pili alionyeshwa dakika ya 90….

Read More

RUSHA KETE NA UJIPATIE MSHIKO WA KUTOSHA KUTOKA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET

Sloti Ya Titan Dice Anza siku yako ukicheza mchezo wa Titan Dice kwa kujikusanyia mkwanja wa kutosha na kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Nafasi ya kuweka siku yako kuwa bomba kwa kuchangamkia bonasi na ushindi mkubwa kupitia Meridianbet. Michezo ya Dice (kete) imekuwepo kwa muda mrefu. Kihistoria, mchezo huu ulianzia China. Waandaaji wa kisasa, Expanse…

Read More

YANGA NDANI YA LINDI,KUIKABILI NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Ruagwa, Lindi kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Desemba 5,2022 kikosi kilisepa Dar na kuibukia Mtwara kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mchezo huo. Yanga inatarajiwa kumenyana na Namungo ukiwa ni mchezo wa kufungia mzunguko wa kwanza 2022/23 mpaka sasa…

Read More

KULE QATAR KUNA LAKUJIFUNZA KWETU PIA

UNAONA namna ushindani ndani ya Kombe la Dunia na kila timu inafanya kweli kupata matokeo baada ya dakika 90 kukamilika? Hakika kuna jambo ambalo lipo kwenye mashindano haya makubwa na kila mmoja anafanya kazi yake kutimiza majukumu yae. Umependa namna Korea Kusini inavyocheza kukamilisha dakika 90 kwenye mchezo wao mmoja wakiwa hawana mambo mengi ndani…

Read More

MZUNGUKO WA KWANZA SOMO KWA WALIOKOSA NAFASI

HAKUNA ambaye anapenda kukaa benchi kwenye mechi ambazo zinaendelea kwa kuwa mchezaji kazi yake kubwa ni kutumia dakika 90 uwanjani. Imekuwa hivyo kwenye mzunguko wa kwanza ambapo wapo wachezaji waliokwama kuwa kwenye chaguo la kwanza la kocha. Benchi la ufundi linahitaji wachezaji ambao wanajitoa muda wote kutafuta ushindi na haya yote yanayotokea kwenye mechi lazima…

Read More

MRITHI MIKOBA YA MKWASA ATANGAZWA

 UONGOZI wa Klabu ya Ruvu Shooting umemtangaza Kocha Mkuu Mbwana Makataa ambaye atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa sasa.   Ni mkataba wa mwaka mmoja amepewa akibeba mikoba iliyoachwa wazi na Charles Boniface Mkwasa ambaye ajiuzulu nafasi yake hapo jana, Desemba 5,2022 kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo katika mzungumko wa kwanza wa ligi kuu ambao…

Read More

HUYU HAPA MCHEZAJI BORA YANGA V PRISONS, ALIKIWASHA

WEKA kando kutunguliwa bao moja mbele ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, bado uimara wa kipa aliyeanza ulikuwa kwenye kiwango. Desemba 4, wakati ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 1-0 Tanzania Prisons,mchezaji bora kwa upande wangu alikuwa ni kipa Hussein Abel. Jitihada zake ndani ya dakika 89 zilikuwa kubwa mwanzo mwisho akikamilisha…

Read More

NEYMAR AREJEA, BRAZIL WAPETA

NEYMAR Jr amerejea kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Brazil na zali la ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Korea Kusini jambo ambalo limewaondolea hofu mashabiki wa timu hiyo ya taifa ambapo walikuwa wanadhani nyota huyo hatakuwa kwenye mechi zilizobaki baada ya kuumia. Ushindi huo unawafanya Brazil kutinga hatua ya Robo Fainali Kombe la…

Read More