Saleh

AZAM FC KUSHUKA UWANJANI NA MABINGWA

FEBRUARI 14 2023 kikosi cha Azam FC kilifanya maandalizi ya mwisho kabla ya kuwakabili mabingwa wa Kombe la Mapinduzi 2023 leo Februari 15,2023. Mlandege ambao waliwashangaza mabingwa watetezi Simba pamoja na watani zao wa jadi Yanga kushuhudia wakitwaa ubingwa leo wanakibarua cha kumenyana na Azam FC. Ni mchezo wa kirafiki ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

ZIGO ZITO WAPEWA MANULA, BOCCO, CHAMA

MASTAA wa Simba ikiwa ni pamoja na John Bocco, Clatous Chama,Aishi Manula, Pape Sakho, Shomary Kapombe wamepewa zigo zito kuhakikisha wanapambana kupata matokeo kwenye mechi zote za hatua ya makundi. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira akishirikiana na Juma Mgunda ilianza kwa kuambulia kichapo ugenini ubao uliposoma Horoya 1-0 Simba mchezo wa Ligi…

Read More

SHIKENI UKWELI,MECHI ZIJAZO NI NGUMU KWA SIMBA NA YANGA

Anaandika Jembe SIMBA na Yanga zimepoteza mechi za kwanza za ugenini kimataifa. Tukubali timu zetu zilijiandaa lakini Caf CL na Caf CC si lelemama, si sehemu ya maneno mengi na kupeana moyo tu…NI MAPAMABO HALISI… Simba wamefungwa na Horoya wanayoizidi kwenye ubora wa Rank za Caf, hali kadhalika Yanga kwa Monastir. Sasa nyumbani wanakwenda kukutana…

Read More

HILI KUBWA LA M 5, MSIMBAZI WATOA SHUKRANI

BAADA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kuweka wazi kuwa atanunua bao la timu za Tanzania zinazoshiriki mashindano ya kimataifa kwa milioni 5, uongozi wa Simba umetoa shukrani za dhati kwa jambo hilo. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa jambo hilo ni kubwa…

Read More

ROBERTINHO APATA DAWA YA RAJA CASABLANCA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia kuwa hataingia kivingine kimbinu watakapovaana dhidi ya Raja Casablanca ya nchini Morocco. Hiyo ni baada ya kuanza vibaya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa ugenini dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea wakifungwa bao 1-0. Jumamosi…

Read More

KOCHA SINGIDA BIG STARS KUFANYIA KAZI MAKOSA

KOCHA Mkuu wa Singida Big Stars Hans Pluijm amesema kuwa makosa ambayo wamefanya kwenye mchezo dhidi ya Ihefu watafanyia kazi kwa mechi zijazo. Februari 12 2023 Singida Big Stars ilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 dhidi ya Ihefu kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Highland Estate.  Pluijm amesema kuwa walikuwa wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo huo…

Read More

YANGA KUTUA DAR

MSAFARA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Februari 14 unatarajiwa kuwasili Dar. Wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika walikuwa nchini Tunisia kwa ajili ya dakika 90 dhidi ya US Monastir. Ubao ulisoma US Monastir 2-0 Yanga hivyo wanarejea wakiwa na hasira kuelekea kwenye mchezo ujao dhidi ya…

Read More

SIMBA NDANI YA ARDHI YA TANZANIA

MSAFARA wa Simba umewasili salama Dar ukitokea nchini Guinea ulipokuwa kwa ajili ya kazi ya kuiwakilisha nchi kimataifa. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Horoya kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi na kuyeyusha pointi tatu. Kazi kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao ujao ambao…

Read More