
VIDEO:SARE YA YANGA KIMATAIFA IMECHAMBULIWA NAMNA HII
SARE ya Yanga kimataifa imechambuliwa namna hii
SARE ya Yanga kimataifa imechambuliwa namna hii
JEMBE amvaa kocha Simba, viungo Clatous Chama na Saido Ntibanzokiza watajwa
Haijawahi kuwa ya kuvutia kiasi hiki, zawadi za jumla ya TZS 350,000,000 kushindaniwa kwenye michezo ya sloti inayotolewa na Wazdan katika chimbo lako pendwa la kasino Meridianbet Tanzania, unashiriki ukiwa na nafasi ya kujishindia mgao wako katika zawadi nono zinazotolewa, Kupaswi kukosa hii ni kubwa sana inaweza kubadili kila kitu leo. Zawadi nono ya TZS…
Robertinho aweka mtego mzito CAF, bahati yao ndani ya Championi Jumatatu
KOMBE la Carabao mikononi mwa Manchester United baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United Casemiro alianza kufunga dakika ya 33 na nyota Steven Batman alijifunga dakika ya 39. Mastaa wa Manchester united wamejawa na furaha tele kwa kutwaa taji hilo ambalo ni kubwa kwao. Nahodha Harry Maguire amekabidhwa taji hilo kwenye mchezo…
IKIWA Uwanja wa du 26 Mars nchini Mali imeshudia ubao ukisoma Real Bamako 1-1 Yanga. Mchezo wa leo ambao ni wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Yanga ilianza kupata bao la kuongoza dakika ya 60 kupitia kwa nyota wao Fiston Mayele. Mayele alipachika bao hilo akiwa nje kidogo ya 18 na kuwanyanyua mashabiki wa…
UBAO wa Stade du 26 Mars, Mali kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unasoma Real Bamako 0-0 Yanga. Ni mchezo wa hatua ya makundi ambapo timu zote mbili zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wawakilishi kutoka Tanzania kwenye anga la kimataifa wameanza na washambuliaji wawili ambao ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda. Kiungo…
TOTTENHAM imesepa na pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Chelsea. Mabao ya Oliver Skipp dakika ya 46 na Harry Kane dakika ya 82 yameipa ushindi Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspur umesoma Tottenham 2-0 Chelsea. Chelsea inabaki na pointi 31 ikiwa nafasi ya 10 huku…
NI leo ndani Stade du 26 Mars, Bamako Yanga wanakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Real Bamako. Kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Djigui Diarra Djuma Shaban Joyce Lomalisa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Khalid Aucho Jesus Moloko Yannick Bangala Fiston Mayele Mudhathir Yahya Kennedy Musonda Akiba ni Metacha Mnata Doumbia Kibwana Mauya Sure Boy…
IKIWA leo inatarajiwa kutupa kete yake ya tatu kimataifa dhidi ya Real Bamako mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika benchi la ufundi limeomba dua kutoka kwa Watanzania. Yanga ipo nafasi ya pili kwenye kundi D baada ya kucheza mechi mbili imekusanya pointi tatu sawa na TP Mazembe wakiwa tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungana….
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Muheza Hamis Mohamed Mwinjuma maarufu Mwana FA kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo akichukua nafasi ya Pauline Philipo Gekul ambaye amehamishiwa Wizara ya Katiba na Sheria.
BAADA ya kukamilisha dakika 90 za kimataifa ugenini tayari kikosi cha Simba kimerejea Dar. Februari 25,2023 kilishuka Uwanja wa St Mary’s kusaka pointi tatu dhidi ya Vipers ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Vipers 0-1 Simba huku mtupiaji akiwa ni Henock Inonga aliyepachika bao…
NABI aiteka shoo, Chama kwenye mtego Simba ndani ya Spoti Xtra Jumapili
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anawafahamu wapinzani wake Real Bamako hivyo ataingia kwa tahadhari. Leo Februari 26 Yanga inatupa kete yake ya tatu kwenye hatua za kimataifa katika Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Kete ya kwanza Yanga ilipoteza ugenini dhidi ya US Monastir kisha ikpata ushindi dhidi ya TP Mazembe…
HATIMAYE kikosi cha Simba kimeibuka na ushindi kwenye mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi ikiwa ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa St Mary’s umesoma Vipers 0-1 Simba na kuwafanya wasepena pointi tatu mazima. Mtupiaji wa bao la ushindi ni Henock Inonga ambaye aliwapa furaha wachezaji wenzaki ikiwa ni pamoja na Kibu…
IKIWA ugenini leo Februari 25 imepoteza kwa mara nyingine tena ukiwa ni mchezo wa ligi. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Azam FC 1-0 KMC. Ni mchezo wa pili mfululizo KMC kupoteza ikiwa Dar katika msako wa pointi tatu ikiwa inaongozwa na nahodha Emmauel Mvuyekule. Ilitoka kunyoshwa bao 1-0 dhidi…
BAO la kwanza kwenye anga za kimataifa kwa Simba hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa limefungwa Uganda. Ni Henock Inonga anafunga bao hilo dakika ya 19 akiwa ndani ya 18 kwenye harakati za kutimiza majukumu yake. Ni pasi ya Moses Phiri ameitumia beki huyo kuipa uongozi Simba dhidi ya Vipers. Moja ya mchezo wenye ushindani…