Saleh

KIUNGO AKUBALI YAISHE YANGA AVUNJA MKATABA, ATIMKA

MARA baada ya kufikia makubaliano mazuri ya kuvunja mkataba na timu yake ya Yanga, kiungo Mrundi Gael Bigirimana amekubali yaishe na juzi Jumatatu mchana alipanda ndege kurejea nyumbani kwao Burundi. Hiyo ni baada ya kufikia makubaliano mazuri ya pande mbili mchezaji na timu yake ya zamani ya Yanga iliyokubali kumlipa Sh 700Mil kwa awamu tatu….

Read More

MANGUNGU AZUNGUMZIA USHIRIKIANO NA MIPANGO KAZI

MURTANZA Mangungu, Mwenyekiti wa Simba ambaye anatetea kiti hicho kwa mara nyingine amesema kuwa hata kama akishindwa atabaki kushirikiana na Simba kwa kuwa ni mwanachama wa timu hiyo. Januari 29,2023 Simba wanatarajia kufanya uchaguzi na mkutano mkuu ambapo kwa sasa kampeni zinaendelea. Mangungu amesema kuwa anatambua kwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa lakini yeye hana…

Read More

NAMUNGO YAMPA TABU KIPA WA KMC

ENEO ambalo KMC wanapaswa kuboresha na kuongeza nguvu kwa mzunguko huu wa pili ni ulinzi ikiwa ni beki na mlinda mlango. Kipa wao namba moja David Kissu amekuwa akifanya makosa mengi yakizembe akiwa langoni hasa kutokana na maamuzi yake yanayoigharimu timu. Alipata tabu akiwa langoni kutokana na kutunguliwa mabao akiwa langoni. Anaingia kwenye orodha ya…

Read More

NYOTA WA ZAMANI WA YANGA NA NAMUNGO USAJILI WAKE ACHA TU

MIONGONI mwa taarifa ambazo zilikuwa na sarakasi nyingi ni pamoja usajili wa nyota Mohamed Issa Banka kuibuka ndani ya Ruvu Shooting na kabla ya kuanza kucheza mkataba wake ukavunjwa. Banka ambaye amewahi kukipiga ndani ya kikosi cha Yanga, Namungo na Mtibwa Sugar alipaswa kuwa ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting kwenye mzunguko wa pili katika…

Read More

MTAMBO WA MABAO AZAM UNAREJEA MDOGOMDOGO

KWENYE chati ya ufungaji mabao ndani ya Azam FC, Idris Mbombo ni namba moja akiwa ametupia mabao 7 kibindoni. Nyota huyo ni imara kwenye mapigo huru ikiwa ni pamoja na penalti aliwahi kuwatungua Ruvu Shooting bao moja Uwanja wa Mkapa. Hakuwa kwenye mwendelezo wake bora kutokana na kutokuwa fiti lakini kwa sasa ameanza kurejea mdogomdogo….

Read More

MWENDO WA POLISI TANZANIA UNAFIKIRISHA

MWENDO wake kwa msimu wa 2022/23 wa Polisi Tanzania sio wa ligwaride songa mbele bali ni ligwaride rudi nyuma ikiwa unafikirisha kwelikweli. Januari 14 ikiwa ugenini, ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Polisi Tanzania na walikamilisha dakika 90 wakiwa pungufu. Kwenye mchezo huo mchezaji wao mmoja alionyeshwa kadi nyekundu wakati wakiongoza bao moja…

Read More

NAMUNGO KAMILI KUIKABILI KMC

MCHEZO uliopita Namungo FC iliyeyusha pointi tatu mazima ikiwa nyumbani. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Polisi Tanzania. Leo Januari 24 kikosi hicho kina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC yenye maskani yake Kinondoni. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru. Nyota Shiza Kichuya ameweka wazi kuwa…

Read More

MCHEZO WA KIPA SIMBA KUBUMA AZAM FC HUYU HAPA MTIBUAJI

MABOSI wa Azam FC walikuwa kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya. Dili hilo ghafla lilitibuka baada ya ya mabosi hao kupata zali la kipa mwingine ambaye walikuwa wakimfuatilia. Ikumbukwe kwamba kwenye dirisha dogo Azam FC imefanya usajili wa mchezaji mmoja pekee huku idara nyingine ikiwa ni ushambuliaji na…

Read More

YANGA YAKOMBA POINTI ZA RUVU SHOOTING

56 ni pointi ambazo wanazo kibindoni Yanga baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ruvu Shooting. Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 umesoma Yanga 1-0 Ruvu Shooting na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Ni Mpoki Mwakinyuke ambaye ni nyota wa Ruvu Shooting alijifunga kwenye harakati za kuokoa hatari langoni mwake. Kipa…

Read More

KMC V NAMUNGO FC KESHO KINAWAKA

“TUNAHITAJI kushinda na sio matokeo mabaya kwenye mechi zetu ambazo tunacheza na kila kitu kinakwenda sawa,” ni Christina Mwagala, Ofisa Habari wa KMC. Timu hiyo inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Huo ni mzunguko wa pili ambapo kila timu inasaka ushindi kwa hali na mali kufikia…

Read More

RUVU SHOOTING WAIPAPASA MBELE YA WANANCHI

WANANCHI wanaongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Ruvu Shooting wamejitungua wenyewe dakika ya 34 kupitia kwa nyota wao Mpoki Mwakinyuke. Licha ya Ruvu Shooting kujifunga bado Yanga ndani ya dakika 45 wameonyesha nguvu kubwa kuliandama lango la Ruvu Shooting wakimtumia mshambuliaji wao Fiston Mayele…

Read More