KIRAKA WA KAZI KUTOKA MSIMBAZI MALI YA NAMUNGO FC
NAMUNGO FC imemtambulisha rasmi nyota wa zamani wa Simba, Erasto Nyoni kuwa mali yao kwa msimu wa 2023/24. Nyoni ni kiraka anayefiti kila eneo ambalo atapangwa kucheza na benchi la ufundi iwe kwenye eneo la ukabaji, ulinzi na ushambuliaji uwezo wake unahamia Namungo. Uwezo mkubwa ni kutumia mguu ule wa kulia ambao umekuwa ukifanya kazi…