Saleh

KASINO YA MTANDAONI MERIDIANBET INAKUPA MTONYO ZAIDI!

Sub-heading: Jisajili Meridianbet na upate mizunguko 50 ya bure ya kasino ya mtandaoni! Bonyeza hapa kujisajili https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Huenda wewe ukawa sehemu ya washindi wakubwa kila siku kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, pata bonasi kibao na ushindi mkubwa mara 1000 ya dau lako uliloweka kutoka sloti ya FoxPot Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot Kutoka kasino…

Read More

STARS WAPENI FURAHA MASHABIKI KWA KUFANYA KWELI

WAKATI mzuri kuendeleza mazuri ambayo mlifanya kwenye mchezo uliopita ugenini mkiwa na mashabiki wenu ni sasa kwa wachezaji wa Stars . Hakika kushinda ugenini ni ushindi mkubwa mbele ya mashabiki wao waliokuwa nao hapo unadhani wao watakuwa wanahitaji nini kama sio ushindi? Wamepata ugumu walipokuwa nyumbani sasa wanakuja ugenini wakihitaji kurejea na furaha hivyo ni…

Read More

WAWILI WAONGEZWA STARS

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wallace Karia amesema wachezaji wawili wazoefu kwenye timu ya Taifa ya Tanzania Shomari Kapombe na Mohamed Hussein wameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania. Hiyo ikiwa ni baada ya timu ya Stars kukamilisha mchezo wa kwanza ugenini dhidi ya Uganda na kuibuka na ushindi wa bao 1-0….

Read More

NGOMA NZITO KWA SIMBA NA YANGA KIMATAIFA

NGOMA ni nzito kwa makocha wawili wa mitaa ya Kariakoo, Robeto Oliveira wa Simba na Nasreddine Nabi wa Yanga kwenye anga za kimataifa kutokana na kila mmoja kutusua na wachezaji wake kwenye anga la utupiaji. Ni wale wa Simba wanaongoza kumsimamisha Rob ambapo ni mara 9 alinyanyuka kwenye benchi kufurahia mabao yaliyozamishwa kimiani. Mwamba wa…

Read More

AZAM FC KUPASHA MISULI NA KMC

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanatarajia kumenyana na KMC Uwanja wa Azam Complex kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC kesho Machi 27. Timu hiyo imepoteza vigezo vya kutwaa ubingwa wa ligi baada ya kupoteza mchezo uliopita dhidi ya Ihefu na kugotea na pointi zao 47. Mkononi wana kete tano kukamilisha mzunguko wa pili ambapo…

Read More

WAMEVUJA JASHO KINOMANOMA

STAA wa Manchester United, Bruno Fernandes ametumia dakika nyingi zaidi uwanjani kuliko mchezaji mwingine yeyote barani Ulaya msimu huu. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 28 amecheza asilimia 92 ya dakika zote ambazo Kocha Erik ten Hag amewaongoza Mashetani msimu huu na alianza mechi zote isipokuwa tatu kati ya 45 za mashindano yote. Kama ilivyokuwa…

Read More

KOCHA SIMBA ANAAMINI VIWANGO VINAZIDI KUPANDA

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa maendeleo ya wachezaji wake pamoja na viwango vyao vinazidi kuwa imara kila siku. Kocha huyo raia wa Brazil amebainisha kuwa anafurahishwa na uwezo wa kila mchezaji kwa namna anavyojituma kwenye kikosi. Ijumaa wachezaji wa Simba walianza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa…

Read More

MASTAA AZAM FC WAPEWA ONYO

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa amewaambia wachezaji wote wa timu hiyo ni lazima wajitafakari kutokana na matokeo wanayopata na kuonyesha kwa vitendo. Timu hiyo mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Highland ukisoma Ihefu 1-0 Azam FC jambo lililowafanya waache pointi tatu mazima ugenini. Imetolewa kwenye mwendo wa kuwania ubingwa…

Read More

HAALAND NI MASHINE YA MABAO HUKO

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland yuko mbioni kufuta kabisa rekodi za ufungaji za Cristiano Ronaldo na Lionel Messi katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Na hivi karibuni anaweza kumpita mpinzani wake mkuu kwa sasa, Kylian Mbappe katika orodha ya wafungaji bora wa muda wote. Haaland amekuwa mchezaji wa tatu kufunga mabao matano kwenye mechi moja…

Read More

ANGA LA KIMATAIFA SIMBA NA YANGA ZATESA KWA MKAPA

KWENYE anga la kimataifa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho wamefanya kweli kwa kukusanya pointi za kutosha Uwanja wa Mkapa. Yanga wamekimbiza kwenye kusepa na pointi ambazo ni 9 wakiwa hawajaacha hata moja katika mechi walizocheza Uwanja wa Mkapa huku Simba ikisepa na pointi sita na…

Read More

MSAKO WA VIPAJI UWE NA MWENDELEZO

MWENDELEZO mzuri kwenye uwekezaji kwa vijana unahitajika kuwa wa vitendo kwa kila timu na sio kuishia kupiga picha na porojo ambazo zinaishi kila siku. Ipo wazi kwa sasa vijana wengi wanaopewa nafasi kikosi cha kwanza kwenye timu za wakubwa wanahesibaki hasa ukiziweka kando Azam FC, Mtibwa Sugar, Ihefu na Kagera Sugar. Kuna timu ni ngumu…

Read More