Saleh

Slotopia Yaiteka Meridianbet, Sasa Ni Wakati Wa Burudani Mpya

Bingwa wa michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet wamezidi kufanya maajabu kwa kuwakutanisha wapenzi wa kasino mtandaoni na burudani ya kiwango cha juu, sasa wamewaletea jambo jipya linalokuweka katikati ya mchezo. Slotopia, mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino mtandaoni, ameingia rasmi kwenye jukwaa la Meridianbet. Ndani ya Slotopia, kila mzunguko unaoushiriki una nafasi ya kushangaza….

Read More

Meridianbet Yarejesha Tabasamu kwa Jamii ya Kinondoni Kuelekea Krismasi

Wakati wengi wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, Meridianbet imeamua kuifanya sikukuu hiyo kuwa na maana zaidi kwa familia zinazopitia hali ngumu ya kiuchumi. Kampuni hiyo inayoongoza katika sekta ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imefika katika kata mbalimbali za Manispaa ya Kinondoni, ikitoa msaada wa mahitaji ya msingi ya nyumbani kwa familia zenye kipato cha…

Read More

AFCON 2025: Aubameyang Aikosa Mechi ya Kwanza, Anaweza Kurudi Dhidi ya Mozambique

Shirikisho la Soka la Gabon 🇬🇦 limethibitisha kuwa mshambuliaji wao nyota, Pierre-Emerick Aubameyang (36), hatawepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa AFCON 2025 dhidi ya Cameroon 🇨🇲 utakaochezwa Disemba 24, kutokana na majeraha yanayomsumbua. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Aubameyang anaweza kurejea uwanjani Disemba 28 wakati Gabon itakapokutana na Mozambique 🇲🇿, endapo hali yake ya afya…

Read More

Matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi za lishe (fiber), vimeng’enya (enzymes) na virutubisho vingine muhimu. Kwa mujibu wa The Times of India, matunda kwa asili yana kalori chache na fiber nyingi, hali inayosaidia kudhibiti njaa kwa kukufanya ujisikie umeshiba kwa…

Read More