Saleh

BOSI SIMBA AMEFUNGUKA MWENDO WA TIMU NA UGUMU ULIOPO

MENEJA wa idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mwendo ambao wanakwenda nao kwenye mechi za kimataifa haujawa mzuri jambo linalowaongezea ugumu kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Timu hiyo Novemba 25 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Hatua ya Makundi….

Read More

BODI YA FILAMU YAKAMILISHA MCHUJO TUZO 2023

BODI ya Filamu Tanzania imekamilisha mchujo wa pili wa filamu ambazo zitakwenda kushindaniwa katika kupata washindi wa Tamasha la tuzo za Filamu kwa mwaka 2023. Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msingwa alisema kuwa Tuzo za Filamu Tanzania zimechochea uanzishwaji wa tuzo nyingine hapa nchini, ikiwemo zile za wadau kupitia vyama ambavyo wamevianzishwa…

Read More

MWANZO MBAYA KIMATAIFA IWE NI SOMO KWA VITENDO

WAWAKILISHI wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa nyumbani na ugenini hakuna ambaye ameanza kwa mwendo mzuri.Ipo wazi kuwa ni mwendo mbovu wameanza nao kwa kushindwa kupata matokeo. Kutokana na kuanza hivyo kwa kushindwa kushinda huku wachezaji wakionekana kutotumia nafasi wanazotengeneza ni muhimu kutumia ubovu huo kuwa darasa huru kwenye mechi zinazofuata. Yanga na Simba katika…

Read More

SIMBA WASIKITIKIA MATOKEO YAO KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa matokeo ambayo wameyapata kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas sio mazuri kwa upande wao kwa namna yoyote. Novemba 25 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Kwenye msako wa pointi tatu Simba ilikomba moja ikiwa nyumbani na kupoteza pointi…

Read More

UKUTA WA SIMBA KUSUKWA UPYA

WAKIWA kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy benchi la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa kila idara makosa yake yanafanyiwa kazi. Miongoni mwa sekta ambazo zinafanyiwa kazi ni pamoja na ile ya ukuta chini ya Che Malone, Kennedy Juma, Shomary Kapombe na Mohamed Hussein unasukwa upya kuwa na…

Read More

KAZI BADO IPO KWA MASTAA HAWA YANGA NA SIMBA KIMATAIFA

KUNA mambo mengine ni magumu kuyafanya sio kama sikukuu ya kumbukizi ya kuletwa duniani, ukiwa na keki inafanyika. Haina maana haiwezekani inawezekana kwa kuamua kufanya kweli, hivyo tu basi. Mastaa wa Yanga na Simba kwenye mechi za ligi ya ndani wamekuwa wakifanya kweli, anga la kimataifa ushindani unakuwa tofauti hivyo ni lazima waamue kufanya kweli…

Read More

SIMBA WATOSHANA NGUVU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mashuhuda wakigawana pointi mojamoja na  wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa nyumbani. Licha ya kuanza kupachika bao la kuongoza hali haikuwa njema kwa upande wao walitunguliwa pia bao kipindi cha pili na wapinzani wao. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-1 ASEC Mimosas mchezo…

Read More

MWAKA 1998 YANGA ALIMALIZA KUNDI BILA USHINDI WA MECHI YEYOTE

Nilichokiona kwenye mchezo wa kwanza wa Yanga hatua ya makundi, ni kwamba Yanga imekaribishwa rasmi kwenye Ligi ya Mabingwa baada ya kupita miaka 25 bila timu hiyo kufuzu hatua ya makundi. Meridianbet inatoa bonasi ya ukaribisho kwa wateja wote wanaojisajili kupitia Meridianbet APP, na tovuti. Takribani miaka 25 ipite Yanga kucheza hatua hiyo hakuweza kushinda…

Read More

AZAM FC YAKOMBA POINTI, FEI ATUPIA

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum amefikisha mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuongeza akaunti yake ya mabao. Bao hilo alifunga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walipocheza dhidi ya Mtibwa Sugar. Ilikuwa ni siku mbaya kazini kwa Mtibwa Sugar abaada ya kuyeyusha pointi tatu ugenini na kichapo kikubwa wakapokea. Novemba 24…

Read More

SIMBA: KIMATAIFA TUTAWAFURAHISHA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa watawafurahisha mashabiki watakaojitokeza kushuhudia mchezo wao dhidi ya ASEC Mimosas pamoja na wale watakaokuwa nyumbani. Ipo wazi kwamba Novemba 25 Simba itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.  Ally…

Read More

YANGA YAANZA KWA KUPOTEZA UGENINI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kete yao ya kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wameanza kwa kupoteza mchezo huo. Ni usiku wa kuamkia leo Novemba 25 Yanga ilitupa kete yake ya kwanza ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilikuwa…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA ANALITAMBUA SOKA LA AFRIKA

KLABU ya Simba imemtangaza Abdelhak Benchikha raia wa Algeria mwenye umri wa miaka 60 kuwa kocha wao mkuu. Kocha huyo anarithi mikoba ya Roberto Oliveira, ( Robertinho) ambaye alisitishiwa mkataba wake muda mfupi baada ya kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5 Yanga. Kocha huyo ana uzoefu mkubwa kwenye mechi za ushindani hivyo…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA SIMBA

Klabu ya Simba imemtangaza ABDELHAK BENCHIKHA kuwa kocha mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Robert Oliveira ‘Robertinho’ aliyeoneshwa mlango wa kutokea. Benchikha (60) raia wa Algeria aliiongoza USM Alger kuwaa kombe la Shirikisho Afrika kwa faida ya magoli ya ugenini dhidi ya Young Africans SC kwenye fainali. Benchikha pia aliiongoza USM Alger kutwaa CAF Super…

Read More