IMEELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya mshambuliaji kutoka Klabu ya TP Mazembe Sezo ili awe ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2022/22 huku Chris Mugalu na Meddie Kagere wakitajwa kuwa kwenye mpango wa kuachwa na mshambuliaji huyo anatajwa kuwa pendekezo la Pablo Franco kabla ya kufutwa kazi
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura