IMEELEZWA kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wanahitaji saini ya staa wa Arsenal, Bukayo Saka katka kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake.
City wanahitaji kumpata nyota huyo ili aweze kuondoka ndani ya kikosi cha Arsenal kinachonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta.
Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool wote wanamtazama staa huyo wa Arsenal ili awe hazina kubwa hapo baadaye kutokana na kipaji chake.
Hata hivyo kushindwa kufuzu mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kumeongeza nguvu ya nyota huyo kuweza kusepa hapo Arsenal.
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)