Cristiano Ronaldo amefunga mabao mawili na kuisaidia Cristiano Ronaldo pamoja na klabu yake Al Nassr FC kutwaa ubingwa wa Saudi Pro League baada ya ushindi wa 4–1 dhidi ya Damac FC katika mchezo wa mwisho wa msimu.
Huu ni ubingwa wa 11 kihistoria kwa Al Nassr na wa kwanza tangu kuwasili kwa Ronaldo klabuni hapo, huku ukiwa pia wa kwanza tangu msimu wa 2018/19.
Matokeo ya mchezo:
- Al Nassr 4–1 Damac
- 34’ Sadio Mané
- 54’ Kingsley Coman
- 63’ Ronaldo
- 81’ Ronaldo
- 58’ Sylla (penati)
Mchezo mwingine:
- Al Hilal SFC 1–0 Al Fayha FC
- 04’ Mandash
Msimamo wa mwisho wa ligi:
- Al Nassr FC — pointi 86
- Al Hilal SFC — pointi 84
- Al Ahli Saudi FC — pointi 81
- Al Qadsiah FC — pointi 77
Ushindi huu unaweka Al Nassr kileleni baada ya ushindani mkali hadi mwisho wa msimu.

