Kikosi cha Simba SC kwenye mchezo wa leo Machi 11 vs Singida Black Stars, viungo wametawala asilimia kubwa kikosi cha kwanza.
Uwanja wa Airtel utashuhudia mchezo huu wa NBC Premier League na kikosi cha mnyama kipo namna hii:-
Langoni
Mahamadou Kassali
Mabeki
Shomari Kapombe
Nickson Kibabage
Ismael Toure
De Reuck
Viungo
Yusuph Kagoma
Libasse Gueye
Allasane Kante
Anicet Oura
Inno Loemba
Clatous Chama
Wachezaji wa akiba, Hussen Abel, Duchu, Mligo, Mbegu, Naby, Bashiru, Semfuko, Baraka, Morice na Ellie Mpanzu.
***
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.