MBWANA Samatta nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars yupo kazini akiwa ni miongoni mwa wapeperusha bendera ya Tanzania kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 dhidi ya DR Congo.
Kikosi kamili Oktoba 10 2024 kipo namna hii:-
Ally Salim
Lusajo Mwaikenda
Mohamed Hussen
Ibrahim Bacca
Job
Adolf Mtaswigwa
Kibu Dennis
Mudathir Yahya
Feisal Salum
Clement Mzize
USIKOSE kupata nakala ya kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo kilichoandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, kukipata 0756 028 371.