MBWANA SAMATTA KAZINI DR CONGO

MBWANA Samatta nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars yupo kazini akiwa ni miongoni mwa wapeperusha bendera ya Tanzania kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 dhidi ya DR Congo. Kikosi kamili Oktoba 10 2024 kipo namna hii:- Ally Salim Lusajo Mwaikenda Mohamed Hussen Ibrahim Bacca Job Adolf Mtaswigwa Kibu Dennis Mudathir Yahya…

Read More

CHE MALONE AFUNGUKIA 5 G ZA YANGA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba, Che Malone ameweka wazi kuwa matokeo yaliyopita kwenye Kariakoo Dabi hayawezi kubadilika hivyo wanachofanya ni maandalizi mazuri kuelekea mchezo ujao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa msimu wa 2023/24 Simba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya…

Read More

KIPA WA YANGA AJENGA UFALME WAKE

KWENYE eneo la makipa Bongo Djigui Diarra wa Yanga ameendeleza kujenga ufalme wake akiwa amecheza jumla ya mechi 8 za ushindani bila kufungwa ndani ya uwanja. Mechi hizo ambazo amcheza ni dakika 720 kwa Diarra amekomba akiwa uwanjani katika mechi za ushindani msimu wa 2024/25 akishirikiana na wachezaji wengine wa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha…

Read More