KIUNGO Khalid Aucho wa Klabu ya Yanga, amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kutoka nchini Uganda.
Aucho mwenye miaka 29 amefanikiwa kushinda tuzo hiyo baada ya kuwashinda wapinzani wake katika kinyang’anyiro hicho.
Aucho mwenye miaka 29 amefanikiwa kushinda tuzo hiyo baada ya kuwashinda wapinzani wake katika kinyang’anyiro hicho.