Waziri Mkuu Mwigulu – “Taifa Stars Hawakutolewa Wameondolewa – Sisi Ni People Morocco Tutakutana”…

Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya kanuni za mashindano ili kuwapa nafasi zaidi wachezaji wazawa, ikiwa ni mkakati wa kuandaa kikosi imara kuelekea mashindano ya AFCON 2027 ambapo Tanzania itakuwa mwenyeji. Akizungumza leo Januari 5, 2026, visiwani Unguja,…

Read More

Singida Black Stars Yafanya Mabadiliko Makuu: Ouma Kocha Mkuu, Najjar Meneja Mkuu

Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha kumteua kocha David Ouma kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua nafasi ya Miguel Angel Gamondi ambaye imembadilishia majukumu na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu. Taarifa ya leo Januari 05, 2025 iliyotolewa na klabu hiyo imeeleza kuwa Ouma ambaye awali alikuwa kocha msaidizi atashirikiana na Makocha Wasaidizi…

Read More

Anza Mwaka Mpya Na Ushindi Usio Kawaida Kupitia Holiday Drops Ya Meridianbet

Mwaka mpya umeanza, na Meridianbet inakusaidia kuuanza kwa mtindo wa kipekee. Holiday Drops ni fursa ya kipekee ya kushinda zawadi ambazo hujitokezi ghafla, zikikuletea msisimko wa kasino mtandaoni bila kikomo. Mchezo huu ni safari ya burudani ambapo kila mzunguko unaweza kuwa mwanzo wa ushindi mkubwa. Kila sekunde ndani ya Holiday Drops ni fursa ya mshangao….

Read More

Morocco 1-0 Tanzania, AFCON 2025

Morocco 1-0 Tanzania raundi ya 16 bora mchezo uliokamilika nchini Morocco kwa wababe wawili kukamilisha dakika 90 za kazi. Goli limefungwa na Brahim Diaz dakika ya 64. Wachezaji wa Tanzania wamepambana kwa ajili ya nembo bila kukata tamaa. Mashuti yaliyopigwa ni 16, Morocco 12-4 Tanzania Yaliyolenga lango ni 3 kwa Morocco na Tanzania 1 Umiliki…

Read More

Yanga SC vs KVZ kinawaka leo NMB Mapinduzi Cup

YANGA SC vs KVZ ni mchezo wa kwanza wa ushindani ndani ya mwaka mpya 2026 ambao umeanza na matukio ya michezo yakiendelea. Ikumbukwe kwamba Januari 3 2025, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves waliwasili salama Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa leo Januari 4,2026. Kocha huyo ameweka wazi kwamba wanaingia kwa tahadhari…

Read More

Mali Yafuzu Robo Fainali ya AFCON 2025 Baada ya Kuifunga Tunisia kwa Penalti

Djigui Diarra na wenzake wa Mali wametinga robo fainali ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 kufuatia ushindi wa penalti 3-2 dhidi ya Tunisia katika dimba la Mohammed V, Casablanca kwenye hatua ya 16 bora. FT: Mali 🇲🇱 1-1 🇹🇳 Tunisia ⚽ 90+6’ Sinayoko ⚽ 88’ Chaouat MATUTA: 🇲🇱 Mali: ❌✅❌✅✅ 🇹🇳 Tunisia: ✅❌✅❌❌ ROBO…

Read More