Azam FC vs Simba SC huyu hapa mshindi

MLINDA mlango namba moja wa Azam FC, Aishi Manula amesema kuwa timu ambayo itacheza kwa umakini leo na kutumia nafasi uwanjani ina nafasi kubwa kupata ushindi. Leo Septemba 16, 2026 Azam FC vs Simba SC watamenyana Uwanja wa Azam Complex kwenye msako wa pointi 3 muhimu saa 1:00 usiku. Manula amesema: “Timu itakayocheza vizuri kwa…

Read More

Yanga SC 1-0 Geita Gold NBC Premier League

Yanga SC imevuna pointi tatu dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa KMC Complex umesoma Yanga SC 1-0 Geita Gold, bao ka ushindi limefungwa na Oumar Kamara dakika ya 55 kwa pasi ya Maxi Nzengeli. Kiungo mshambuliaji Aziz Ki…

Read More