NFF Yamtambulisha Rasmi Nabil Nafhezi Kuwa Kocha Mkuu Mpya wa Nigeria
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Nigeria (NFF) limemtangaza na kumtambulisha rasmi Nabil Nafhezi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo, maarufu kama Super Eagles. Utambulisho huo unahitimisha wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu kocha ambaye angekabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo yenye maskani yake jijini Abuja. Nafhezi anarithi mikoba…