Yanga Yaondoka Botswana na Sare, Mwalimu Aokoa Jahazi Dakika za Mwisho
Yanga imeanza kampeni ya msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) kwa sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Gaborone United. Mchezo huo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya awali umechezwa katika Uwanja wa Taifa wa Gaborone, Botswana, huku Gaborone United ikianza kwa kupata bao la kuongoza kupitia Obry Amseb dakika ya…