Skip to content
Friday, September 4, 2026
  • Bodi ya Ligi Yatembeza Faini Polisi na Geita Gold, Massanza Apigwa Faini ya Mil 10
  • Real Betis dhidi ya Real Madrid Kukipiga Leo La Liga
  • Kapombe, Kibabage Waachwa Dar, Simba Yakwea Pipa Kwenda Malawi
  • Gamondi Atangaza Kikosi Cha Taifa Stars Kwa Ajili ya AFCON 2027

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Bodi ya Ligi Yatembeza Faini Polisi na Geita Gold, Massanza Apigwa Faini ya Mil 10
  • Real Betis dhidi ya Real Madrid Kukipiga Leo La Liga
  • Kapombe, Kibabage Waachwa Dar, Simba Yakwea Pipa Kwenda Malawi
  • Gamondi Atangaza Kikosi Cha Taifa Stars Kwa Ajili ya AFCON 2027

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • September
  • 4

September 4, 2026

  • Sports

Bodi ya Ligi Yatembeza Faini Polisi na Geita Gold, Massanza Apigwa Faini ya Mil 10

Saleh1 hour ago1 hour ago04 mins

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu mbalimbali dhidi ya klabu, viongozi na waamuzi kutokana na makosa yaliyotokea katika michezo ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2026/27. Katika taarifa iliyotolewa Septemba 4, 2026, TPLB imesema adhabu hizo zimehusisha makosa ya nidhamu, kuchelewa uwanjani, kukiuka taratibu za mechi pamoja na udhibiti wa waandishi wa…

Read More
  • International
  • Sports

Real Betis dhidi ya Real Madrid Kukipiga Leo La Liga

Saleh6 hours ago02 mins

Real Betis watawapokea Real Madrid ya Kocha Jose Mourinho katika uwanja wao wa Estadio de La Cartuja jijini Seville, usiku wa leo Ijumaa Septemba 4, 2026, huu ni mchezo wa mzunguko wa nne wa La Liga Uhispania. Real Betis wameanza msimu vizuri, wakishinda mechi mbili kati ya tatu za mwanzo walishinda dhidi ya Real Sociedad…

Read More
  • International
  • Sports

Kapombe, Kibabage Waachwa Dar, Simba Yakwea Pipa Kwenda Malawi

Saleh6 hours ago02 mins

NAHODHA wa Simba SC, Shomari Kapombe, ni miongoni mwa wachezaji walioachwa Dar es Salaam wakati kikosi cha timu hiyo kikikwea pipa kuelekea Malawi kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mighty Wanderers. Simba SC, inayofundishwa na Kocha Mkuu Steve Barker, ina kibarua cha kusaka ushindi katika mchezo huo wa hatua ya…

Read More
  • International
  • Sports

Gamondi Atangaza Kikosi Cha Taifa Stars Kwa Ajili ya AFCON 2027

Saleh8 hours ago02 mins

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Ángel Gamondi, ametangaza kikosi cha awali kitakachoingia kambini hivi karibuni kwa ajili ya kujiandaa na michezo mbalimbali ya kimataifa. Kikosi hicho kimeandaliwa kwa ajili ya michezo miwili muhimu ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 dhidi ya Guinea-Bissau na Madagascar, pamoja…

Read More
  • Sports

Mzuka Wa Wild White Whale Unakupa Mizunguko Rundo Ya Bonasi

Saleh19 hours ago6 hours ago02 mins

Msisimko wa kasino umeongezeka tena baada ya Meridianbet kuweka ofa maalum kwenye mchezo wa Wild White Whale, ikiwapa wachezaji nafasi ya kupata mizunguko 50 ya bure. Mchezaji anayekamilisha mizunguko 100 katika mchezo huo anastahili kupata mizunguko hiyo ya ziada. Ni hatua inayoweza kufanya safari ya mchezo kuwa ndefu zaidi huku ikiongeza burudani kwa wachezaji wanaofurahia…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.