Barcelona Yamsajili Dominik Livaković kwa Mkataba wa Miaka Minne

Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Croatia, Dominik Livaković, kutoka Fenerbahçe, akitia saini mkataba wa miaka minne utakaomuweka klabuni hapo hadi Juni 2030. Livaković, mwenye umri wa miaka 31, amejiunga na mabingwa hao wa LaLiga kwa ada ya awali ya takribani €2 milioni, huku thamani ya uhamisho huo ikitarajiwa kufikia hadi…

Read More

Liverpool Yafikia Dili ya Sh Bilioni 418 Kumnasa Bradley Barcola

Liverpool imefikia makubaliano ya awali yenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 418 (£120 milioni) na Paris Saint-Germain (PSG) kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa pembeni wa Ufaransa, Bradley Barcola. Makubaliano hayo bado hayajakamilishwa rasmi, lakini hatua hiyo imeelezwa kuwa ni mafanikio makubwa katika mazungumzo ya muda mrefu kati ya Liverpool na PSG kuhusu uhamisho wa…

Read More

Exclusive: Saleh Ally Afichua Siri ya Safari Yake Katika Uandishi wa Habari za Michezo – Video

Mwandishi mahiri wa habari za michezo nchini Tanzania, Saleh Ally (@salehjembefacts), amefanya mahojiano maalum (exclusive interview) na Global TV, ambapo amefunguka kwa kina kuhusu safari yake ya uandishi wa habari za michezo na mambo mbalimbali ambayo wengi hawakuyajua kuhusu maisha yake ya kikazi. Katika mahojiano hayo, Saleh Ally amezungumzia kwa undani safari yake katika taaluma…

Read More

3 Fisher Cats: Mchezo Mpya Unaowapeleka Wachezaji Kwenye Safari ya Uvuvi

Wapenzi wa burudani za kasino, safari mpya imeanza Meridianbet kupitia 3 Fisher Cats, mchezo wa kuvutia kutoka Amigo unaowaleta paka watatu wajanja kwenye misheni ya kutafuta samaki na hazina mbalimbali. Safari hii imejaa mandhari ya kuvutia, raundi zenye msisimko na matukio yanayoweza kufanya kila hatua iwe ya kipekee. Kwa wanaopenda kugundua michezo mipya, 3 Fisher…

Read More