Simba Yatangaza Meja Isamuhyo Kuwa Ngome Yake, Yafichua Ratiba ya Kimataifa
Klabu ya Simba SC imetangaza kurejea kutumia Uwanja wa Meja Isamuhyo kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za Ligi Kuu ya NBC, baada ya awali kutangaza kutumia Uwanja wa Uhuru. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Semaji wa Simba, Ahmed Ally, amesema uamuzi huo umetokana na mafanikio ambayo timu hiyo ilipata msimu uliopita ilipotumia Meja…