Skip to content
Tuesday, August 25, 2026
  • Ratiba ya NBC Premier League 2026/27
  • Yanga SC 4-0 JKT Tanzania
  • Stoke City vs Hull City: Nani Atatinga Raundi ya Tatu ya Carabao Cup?
  • Non-Stop Blasts & Races: Cheza na Uingie Kwenye Nafasi Mpya za Kushinda

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Ratiba ya NBC Premier League 2026/27
  • Yanga SC 4-0 JKT Tanzania
  • Stoke City vs Hull City: Nani Atatinga Raundi ya Tatu ya Carabao Cup?
  • Non-Stop Blasts & Races: Cheza na Uingie Kwenye Nafasi Mpya za Kushinda

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • August
  • 24

August 24, 2026

  • Entertainment
  • Featured

Simba Yatangaza Meja Isamuhyo Kuwa Ngome Yake, Yafichua Ratiba ya Kimataifa

Saleh23 hours ago02 mins

Klabu ya Simba SC imetangaza kurejea kutumia Uwanja wa Meja Isamuhyo kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za Ligi Kuu ya NBC, baada ya awali kutangaza kutumia Uwanja wa Uhuru. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Semaji wa Simba, Ahmed Ally, amesema uamuzi huo umetokana na mafanikio ambayo timu hiyo ilipata msimu uliopita ilipotumia Meja…

Read More
  • International
  • Sports

EPL na Serie A zatamba leo, Chelsea na Roma kuwania pointi tatu

Saleh1 day ago1 day ago03 mins

Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za leo ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Ligi kuu ya Uingereza yaani EPL itaendelea siku ya leo, Fulham atamkaribisha Chelsea huku mechi hii ikiwa na matarajio makubwa kwa…

Read More
  • Featured
  • International
  • Sports

Yanga Kushuka KMC Complex, JKT Tanzania Yawania Pointi Tatu

Saleh1 day ago22 hours ago01 mins

Yanga SC leo Agosti 24, 2026 inatarajiwa kushuka dimbani kuikabili JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex kuanzia saa 18:00 jioni. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku Yanga ikilenga kuendelea na mwenendo mzuri katika msimu huu, wakati JKT Tanzania ikisaka matokeo mazuri dhidi…

Read More
  • Entertainment
  • Featured
  • Sports

Newcastle Yashindwa Kuishinda Liverpool, Szoboszlai Aokoa Reds Dakika za Mwisho

Saleh1 day ago02 mins

Newcastle United na Liverpool zimetoka sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliokuwa na presha kubwa hadi dakika za mwisho. Newcastle ilianza kwa kasi na kupata bao la kuongoza dakika ya tano kupitia Anthony Elanga, kabla ya Liverpool kusawazisha kupitia Cody Gakpo. Newcastle ilirejea mbele baada ya Joe Willock kufunga bao lililoonekana…

Read More
  • Entertainment
  • Featured
  • Sports

Manchester City 2–1 Bournemouth: Gvardiol aokoa City dakika za mwisho

Saleh1 day ago02 mins

Manchester City imepata ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Bournemouth katika mchezo wa Premier League uliochezwa Uwanja wa Etihad, baada ya Josko Gvardiol kufunga bao la ushindi katika muda wa nyongeza. Bournemouth walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia Marcus Tavernier, na kwa muda mrefu walionekana kuwa njiani kuibua mshangao mkubwa dhidi ya City. City, chini…

Read More
  • Entertainment

Wild 4th Fruits Waleta ladha Mpya ya Burudani Meridianbet

Saleh1 day ago24 hours ago02 mins

Ulimwengu wa kasino unaendelea kupata sura mpya, na safari hii Xpanse imeingia uwanjani na Wild 4th Fruits, mchezo unaochanganya ladha tamu na burudani ya kisasa. Ukiwa tayari ndani ya Meridianbet, mchezo huu unawapeleka wachezaji kwenye mazingira yenye matunda ya kuvutia, rangi angavu na mfumo wa uchezaji unaolenga kuweka burudani rahisi na yenye msisimko. Wild 4th…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.