TFF Yangaza Adhabu ya Kupokwa Pointi 5 kwa Timu Zitakazokwepa ‘Dressing Room’
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza hatua mpya za kinidhamu kwa timu zitakazoshindwa kutumia vyumba rasmi vya kubadilishia nguo viwanjani bila sababu za msingi, huku adhabu ya kupokwa pointi tano ikitarajiwa kutumika kwa watakaokiuka utaratibu huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 30, 2026, katika makao makuu ya TFF, Rais wa shirikisho…