Shigongo Cup 2026 Kuanza Rasmi Leo Buchosa, Iligamba FC na Kanyala FC Kufungua Pazia
Mashindano ya Shigongo Cup 2026 yanatarajiwa kuanza rasmi leo, Jumatano Julai 29, 2026, kwa mchezo wa ufunguzi utakaowakutanisha Iligamba FC na Kanyala FC kwenye Uwanja wa Iligamba kuanzia saa 3:00 asubuhi. Mashindano hayo yameanzishwa kwa lengo la kuibua na kukuza vipaji vya soka kwa vijana, kuimarisha mshikamano wa jamii pamoja na kuhamasisha maendeleo ya…