Skip to content
Wednesday, July 29, 2026
  • Shigongo Cup 2026 Kuanza Rasmi Leo Buchosa, Iligamba FC na Kanyala FC Kufungua Pazia
  • Tunisia Yamteua Moine Chaabani Kuinoa Timu ya Taifa Baada ya Kufeli Vibaya Kombe la Dunia
  • Mzize, Shalulile, Toure, Mwijage na Okello: Yanga Yaonyesha Silaha Mpya za Msimu
  • Arafat Haji Awatuliza Wananchi Kuhusu Ujenzi wa Uwanja wa Yanga Jangwani

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Shigongo Cup 2026 Kuanza Rasmi Leo Buchosa, Iligamba FC na Kanyala FC Kufungua Pazia
  • Tunisia Yamteua Moine Chaabani Kuinoa Timu ya Taifa Baada ya Kufeli Vibaya Kombe la Dunia
  • Mzize, Shalulile, Toure, Mwijage na Okello: Yanga Yaonyesha Silaha Mpya za Msimu
  • Arafat Haji Awatuliza Wananchi Kuhusu Ujenzi wa Uwanja wa Yanga Jangwani

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • July
  • 29

July 29, 2026

  • Sports

Shigongo Cup 2026 Kuanza Rasmi Leo Buchosa, Iligamba FC na Kanyala FC Kufungua Pazia

Saleh1 hour ago01 mins

  Mashindano ya Shigongo Cup 2026 yanatarajiwa kuanza rasmi leo, Jumatano Julai 29, 2026, kwa mchezo wa ufunguzi utakaowakutanisha Iligamba FC na Kanyala FC kwenye Uwanja wa Iligamba kuanzia saa 3:00 asubuhi. Mashindano hayo yameanzishwa kwa lengo la kuibua na kukuza vipaji vya soka kwa vijana, kuimarisha mshikamano wa jamii pamoja na kuhamasisha maendeleo ya…

Read More
  • Sports

Tunisia Yamteua Moine Chaabani Kuinoa Timu ya Taifa Baada ya Kufeli Vibaya Kombe la Dunia

Saleh2 hours ago02 mins

Shirikisho la Soka la Tunisia (FTF) limemtangaza rasmi Moine Chaabani kuwa kocha mpya wa timu ya taifa kwa mkataba wa miaka minne, kufuatia kampeni mbaya ya Kombe la Dunia iliyoshuhudia timu hiyo ikipoteza mechi zote tatu za hatua ya makundi. Katika taarifa iliyotolewa Jumanne, FTF ilithibitisha uteuzi huo uliokuwa ukiripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.